rama bendu
JF-Expert Member
- Aug 23, 2015
- 310
- 220
Fanya mambo yako kijana ya kina roma waachie kinaromaMtu aliyetekwa,watu wamemlilia na kumtafuta,anapata ukombozi anapatikana halafu anaulizwa ilikuaje anasema ntaongea wiki ijayo..!
Kweli watanzania tumefanywa wajinga hasa
MTU anakufa Leo na leo Leo kabla jua halijazama tayr ameshatungiwa nyimbo...acha akili za kiccm wew.Ule wimbo diamond aliutunga lini maana aliutoa kama Masaa 18 baada ya Roma kutekwa, Na kule ndani kazungumzia utekwaji wake!!
Bila kuahidi au kutokuahidi ilikuwa na ni lazima aeleze kilichotokea.kukaa kimya kuna halalisha tukio lenyewe,kukaa kimya kunafanya jambo lionekane la kawaida na nikumaanisha ni ruksa waliomteka waendelee na utekaji wao.pia nikutudharau tuliopaza sauti zetu kudai aliemteka amuachie.Roma anapaswa kueleza yote na hayo makubaliano yakuachiwa ni haramu hayana uhalali wowote.
Mkuu, connect dots vizuri katika kipindi hiki cha magu wananchi wengi hawana tena morali ya kufanya kazi kwa sababu hata hawa-enjoy kazi zenyewe.....hawana furaha kabisa (rejea utafiti Wa UN kuhusu nchi zisizo na furaha duniani). Sehem pekee ambapo watanzania wanapunguzia stress ni kwenye udaku tu. Pombe ndio chanzo cha watu kupenda udaku. Ajitafakari kwanza.Ladies &Gentlemen kafanyeni kazi!
khaaa sasa hizo press za akina roma zinamsaada gani mtege masikio hivo?
hivi umbea mtaacha lini
mtatiro yuko live jf anafwatilia huu uzi.
Kama yupo kwan tatzo mkuumtatiro yuko live jf anafwatilia huu uzi.
Mjinga ukoo wenu mzimaChuki zako kwa wasafi ziskufanye kuwa mjinga kiasi icho
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Mjinga ukoo wenu mzima
Kwani shidaako nini?? Wew ndo umetekwa??Mtu aliyetekwa,watu wamemlilia na kumtafuta,anapata ukombozi anapatikana halafu anaulizwa ilikuaje anasema ntaongea wiki ijayo..!
Kweli watanzania tumefanywa wajinga hasa