johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Wiki iliyopita Katibu mkuu wa CHADEMA J J Mnyika aliitisha kikao cha waandishi wa habari na kuhoji alipo Rais Magufuli na kama yupo salama. Waziri mkuu mh Majaliwa alijibu siku hiyo hiyo akiwa mkoani Njombe kikazi.
Jana J J Mnyika alitangaza kikao kingine cha waandishi wa habari ambacho kingefanyika leo lakini usiku wa jana alikiahirisha kufuatia tangazo la msiba wa Rais Magufuli lililotolewa na makamu wa Rais Mama Samia.
Huyu J J Mnyika anaonekana kuanza kukomaa kisiasa.
Maendeleo hayana vyama!
Jana J J Mnyika alitangaza kikao kingine cha waandishi wa habari ambacho kingefanyika leo lakini usiku wa jana alikiahirisha kufuatia tangazo la msiba wa Rais Magufuli lililotolewa na makamu wa Rais Mama Samia.
Huyu J J Mnyika anaonekana kuanza kukomaa kisiasa.
Maendeleo hayana vyama!