masopakyindi
Platinum Member
- Jul 5, 2011
- 18,207
- 13,839
Mkuu kwani kuna kipi cha ajabu hapo?Wiki iliyopita Katibu mkuu wa CHADEMA J J Mnyika aliitisha kikao cha waandishi wa habari na kuhoji alipo Rais Magufuli na kama yupo salama. Waziri mkuu mh Majaliwa alijibu siku hiyo hiyo akiwa mkoani Njombe kikazi.
Jana J J Mnyika alitangaza kikao kingine cha waandishi wa habari ambacho kingefanyika leo lakini usiku wa jana alikiahirisha kufuatia tangazo la msiba wa Rais Magufuli lililotolewa na makamu wa Rais mama Samia.
Huyu J J Mnyika anaonekana kuanza kukomaa kisiasa.
Maendeleo hayana vyama!
Mnyika ni Mtanzania na anajitambua na kapewa madaraka na chama chake kuuliza mswali magumu ambayo wana CCM hawakudirik kuyauliza.
Siyo siri hali ya Rais Magufuli ilikuwa inafuatiliwa zaidi kule Twitani kuliko matamko ya akina Chalamila na Majaliwa.
Ni aibu kwa serikali maana hata leo CNN imponda tamko la msiba kuwa halielezi kiini cha kifo.
Mficha ficha maradhi kifo kinamuumbua
Zile sera za mheshimiwa Mkapa , sera za Ukweli na Uwazi, ziliishia wapi?
Serikali lazima ijitambue kuwa huwezi kuishi kwa kumanipulate News , hasa nzito.