Vincenzo Jr
Platinum Member
- Sep 23, 2020
- 24,262
- 58,728
Ulikuwa sio aphen yake yule niliye mazoea ππππPicha huoni hata kusoma hujuiπ
Vile nimevifuaβΊοΈUlikuwa sio aphen yake yule niliye mazoea ππππ
Mashallah ππ na ulivyo na miguu mizuriVile nimevifuaβΊοΈ
Pika viungo vyako pembeni ikifika kuweka mchele.. weka viungo vyako Kwa rice cooker na maji ya kutoshaπππππ€£πππππ Nataka kupika pilau
Na nyama je ?Pika viungo vyako pembeni ikifika kuweka mchele.. weka viungo vyako Kwa rice cooker na maji ya kutosha
Thanks sana π ubarikiweUtakuwa ushaipika pembeni.. kwenye rice cooker unaweka ulivyokarangiza + maji ya kuivisha mchele Γ mbapo ukimix ni pilau
nunua vonMambo.
Nimekutana na haya mawili Von na Kodtec pressure cookers.
Kwa budget ya chini ya Tsh 200,000/= nichukue lipi?
Au kuna suggestion nyingine?
Zinapatikana kila sehemu ni wewe useme uko wapi..
Kama uko dar nenda kariakoo ulizia watu wanaitwa "nida danish" kama uko arusha ninda kwa bensoni..
Wote hao bei zao zinachezea kwenye hiyo rang
1. Nutricook inauzwa around 350k
2. Von inauzwa around 230k
NB: Itabidi uongeze bajeti.