Pressure Cooker ipi ninunue?

Pressure Cooker ipi ninunue?

Tuone wali bro.. hahahaha
Huuu hapa kaka embu nielekeze nataka kesho nitoe pilau hapo napika vipi Cc ephen_
IMG_20240820_195822_864.jpg
IMG_20240820_203736_739.jpg
 
Umeweka maji kidogo sana..

1. Ukiweka Mchele, hakikisha maji yanajaa full yanafunika wali.

2. Usifunue wala usikoroge.

3. Chumvi na mafuta kidogo weka.

4. Set kwenye RICE kisha acha Mchina afanye yake.
Kaka hapo umeshaiva kaka nilikuwa nakuuliza jinsi ya kupika pilau nielekeze Cc ephen_
 
Embu nielekeze Cc ephen_ hapa naona option ya kupika ubwabwa
Fuata maelekezo mkuu. Science does not cheat. Kama ukiambiwa 1000grams/lt ukizidisha hata gram moja au milliliter 1 tayari huwezi kupata matokeo yaliyokusudiwa japo hautakuwa mbali na matokeo uliyotaka.

So kama ulitaka wali ukapata ubwabwa basi kuna mahali umekosea kwenye hivyo vipimo ili kuleta balance inayoweza kukupa unachotaka.
 
Fuata maelekezo mkuu. Science does not cheat. Kama ukiambiwa 1000grams/lt ukizidisha hata gram moja au milliliter 1 tayari huwezi kupata matokeo yaliyokusudiwa japo hautakuwa mbali na matokeo uliyotaka.

So kama ulitaka wali ukapata ubwabwa basi kuna mahali umekosea kwenye hivyo vipimo ili kuleta balance inayoweza kukupa unachotaka.
😭😭😭😭Nimeharibu mchele Cc ephen_
 
Fuata maelekezo mkuu. Science does not cheat. Kama ukiambiwa 1000grams/lt ukizidisha hata gram moja au milliliter 1 tayari huwezi kupata matokeo yaliyokusudiwa japo hautakuwa mbali na matokeo uliyotaka.

So kama ulitaka wali ukapata ubwabwa basi kuna mahali umekosea kwenye hivyo vipimo ili kuleta balance inayoweza kukupa unachotaka.
Wachaga mpo vizuri☺️
 
Back
Top Bottom