Pressure Cooker ipi ninunue?

Pressure Cooker ipi ninunue?

Hapo sawa!
Kuna ndugu yangu alisafiri akatuachia pasi, kuna siku nikaiangusha kutoka juu mpaka chini

Mama alipotaka kupiga pasi nikamuambia pasi niliiangusha ikatoa kishindo kikubwa.
Hakujali akachomeka kitu kikawaka, tunaitumia mpaka kesho.

Siku nikaikagua nikaona maandishi yaliyofutika ila nikang'amua ni kodtec
Nilipoenda dukani kwao kununua kitu kingine nikawapa sifa zao.

Nishakua mteja wao wa kudumu kuanzia sasa na baadae.
 
Hapo sawa!
Kuna ndugu yangu alisafiri akatuachia pasi, kuna siku nikaiangusha kutoka juu mpaka chini

Mama alipotaka kupiga pasi nikamuambia pasi niliiangusha ikatoa kishindo kikubwa.
Hakujali akachomeka kitu kikawaka, tunaitumia mpaka kesho.

Siku nikaikagua nikaona maandishi yaliyofutika ila nikang'amua ni kodtec
Nilipoenda dukani kwao kununua kitu kingine nikawapa sifa zao.

Nishakua mteja wao wa kudumu kuanzia sasa na baadae.
Pia ni chapa kali sna na ina bidhaa imara, tatizo siku hizi uchakachuaji ni mwingi sana
 
Hapo sawa!
Kuna ndugu yangu alisafiri akatuachia pasi, kuna siku nikaiangusha kutoka juu mpaka chini

Mama alipotaka kupiga pasi nikamuambia pasi niliiangusha ikatoa kishindo kikubwa.
Hakujali akachomeka kitu kikawaka, tunaitumia mpaka kesho.

Siku nikaikagua nikaona maandishi yaliyofutika ila nikang'amua ni kodtec
Nilipoenda dukani kwao kununua kitu kingine nikawapa sifa zao.

Nishakua mteja wao wa kudumu kuanzia sasa na baadae.
TV zao nzuri sana
 
Back
Top Bottom