DuppyConqueror
JF-Expert Member
- Mar 30, 2014
- 9,466
- 6,966
Maalim Seif atashinda iwapo tu, Jaji Lubuva atakuwa mwenyekiti wa tumemwez wa tatu bila shaka....
hiv maalim atashinda tena kwa mara ya pili?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Maalim Seif atashinda iwapo tu, Jaji Lubuva atakuwa mwenyekiti wa tumemwez wa tatu bila shaka....
hiv maalim atashinda tena kwa mara ya pili?
Daaaahhhh....
We jamaa nimekukubali aseee....
Wewe hakyamama uko serious kabisa, nimegundua hutanii..
Labda nikuulize swali...Hambalulu ninini?....na Nswalu ninini?..Ni hayo tu, ukinijibu nahamia upande wako kumsaundisha Preta!!😀😀😀
Uongo tu limetikisikaHivi jamani ni kweli kuwa kuna jengo limeporomoka Kariakoo?
Achana nao my love,
Sasa Preta ujue mi nakuonaga sku nyingi tu humu,
Nakuzimia balaa, huwezi kushinda njaa, njoo nkupe chapaa, uwaringishie kitaa
Jina lako ni tam, mpaka napata ham, ya kukuomba utam, mpk nikutoe dam
(hapo kwenye dam natania tu)
Nikubali uwe wangu, uwe mwandani wangu, mtamu kama changu, njoo uchezee rungu
Nipe hambalulu, isiwe inaua kama ya lulu, nikujengee hekalu, ule ugali na nswalu
Pretaaaaa oooooh pretaaaaa nipe hambaluluuuu
Preta ooooh Pretaaa nihurumieeeee
Kubali tu hakuna namna jamaa ameandaa haya mashairi mda mrefu sana. Na unaweza usiyapate jama haya maisha yako yote aisee.Dah......aisee......kama nahisi kukubali vile.......
Kataa wewe tupate mistari mingine ebo! Ujue watu tupo na kalam n karatas 😉Dah......aisee......kama nahisi kukubali vile.......
Daaah! Nikajua limeporomoka. Ahsante sana kwa kunitoa wasi mkuu. Bila shaka hakuna madhara kwa watu.Uongo tu limetikisika
Kataa wewe tupate mistari mingine ebo! Ujue watu tupo na kalam n karatas 😉
Sherehe imevamiwa na Ngedere.Preta nijibu pm yangu sim yako haipo hewani kwenye airtel money yako nimekutumia Million 7 kwaajili ya dinner ya kesho!! ooh sorry nimekumbuka ulinitumia email uliniambia kile ki Benz kipya kina slow pancha kipaki kuna ki Rolls Royce new model nimekiagiza Marekani moja kwa moja! Halafu weekend hii nadhani tutakuwa Dubai kwa ya matembezi!!
Duh! Kuna watu wanapenda kudandia!! Baada ya kuona bro Vampire anakaribia kuscore mazombi yanajileta hapa!!Preta nijibu pm yangu sim yako haipo hewani kwenye airtel money yako nimekutumia Million 7 kwaajili ya dinner ya kesho!! ooh sorry nimekumbuka ulinitumia email uliniambia kile ki Benz kipya kina slow pancha kipaki kuna ki Rolls Royce new model nimekiagiza Marekani moja kwa moja! Halafu weekend hii nadhani tutakuwa Dubai kwa ya matembezi!!
Ngoja kwanza mkuu nipo nae Pm atakujibu baadae au mwezi wa sita Ila sidhani kama atakukubalia!!preta naitwa rugebalila ni mhaya kutoka kwetu kule kwa matajir kagera nina gar langu la v8 nzur sana natembelea full tank ikipungua lita tano naongez
kila nikionana na trafik njian na hajanisimamisha nageuza gar kumuhonga lak maana namuona labda alikuwa na mawazo nilipokuwa napita namiliki vitu ving sana na ninajuana na wabunge weng sana naomba unipe nafas kwenye moyo wako kwenda marekani itakuwa ni kama kichaa kwenda milembe
Achana nao my love,
Sasa Preta ujue mi nakuonaga sku nyingi tu humu,
Nakuzimia balaa, huwezi kushinda njaa, njoo nkupe chapaa, uwaringishie kitaa
Jina lako ni tam, mpaka napata ham, ya kukuomba utam, mpk nikutoe dam
(hapo kwenye dam natania tu)
Nikubali uwe wangu, uwe mwandani wangu, mtamu kama changu, njoo uchezee rungu
Nipe hambalulu, isiwe inaua kama ya lulu, nikujengee hekalu, ule ugali na nswalu
Pretaaaaa oooooh pretaaaaa nipe hambaluluuuu
Preta ooooh Pretaaa nihurumieeeee
Haya mashairi ngoja nikayatumie mahali!
Unakwenda kuyatumia wapi mume wangu?