Preta njoo nikutongoze, wengine tulieni mjifunze

Preta njoo nikutongoze, wengine tulieni mjifunze

Daaaahhhh....
We jamaa nimekukubali aseee....
Wewe hakyamama uko serious kabisa, nimegundua hutanii..
Labda nikuulize swali...Hambalulu ninini?....na Nswalu ninini?..Ni hayo tu, ukinijibu nahamia upande wako kumsaundisha Preta!!😀😀😀

Hambalulu ni kitu kitamu kinachokaaga katikati ya miguu miwili. . . Nswalu ni mboga hiyo ya kwetu taboraa
 
Achana nao my love,

Sasa Preta ujue mi nakuonaga sku nyingi tu humu,

Nakuzimia balaa, huwezi kushinda njaa, njoo nkupe chapaa, uwaringishie kitaa

Jina lako ni tam, mpaka napata ham, ya kukuomba utam, mpk nikutoe dam

(hapo kwenye dam natania tu)

Nikubali uwe wangu, uwe mwandani wangu, mtamu kama changu, njoo uchezee rungu

Nipe hambalulu, isiwe inaua kama ya lulu, nikujengee hekalu, ule ugali na nswalu

Pretaaaaa oooooh pretaaaaa nipe hambaluluuuu

Preta ooooh Pretaaa nihurumieeeee

Dah......aisee......kama nahisi kukubali vile.......
 
Dah......aisee......kama nahisi kukubali vile.......
Kubali tu hakuna namna jamaa ameandaa haya mashairi mda mrefu sana. Na unaweza usiyapate jama haya maisha yako yote aisee.

Duc in Altum
 
Preta nijibu pm yangu sim yako haipo hewani kwenye airtel money yako nimekutumia Million 7 kwaajili ya dinner ya kesho!! ooh sorry nimekumbuka ulinitumia email uliniambia kile ki Benz kipya kina slow pancha kipaki kuna ki Rolls Royce new model nimekiagiza Marekani moja kwa moja! Halafu weekend hii nadhani tutakuwa Dubai kwa ya matembezi!!
 
Preta nijibu pm yangu sim yako haipo hewani kwenye airtel money yako nimekutumia Million 7 kwaajili ya dinner ya kesho!! ooh sorry nimekumbuka ulinitumia email uliniambia kile ki Benz kipya kina slow pancha kipaki kuna ki Rolls Royce new model nimekiagiza Marekani moja kwa moja! Halafu weekend hii nadhani tutakuwa Dubai kwa ya matembezi!!
Sherehe imevamiwa na Ngedere.

Duc in Altum
 
Preta nijibu pm yangu sim yako haipo hewani kwenye airtel money yako nimekutumia Million 7 kwaajili ya dinner ya kesho!! ooh sorry nimekumbuka ulinitumia email uliniambia kile ki Benz kipya kina slow pancha kipaki kuna ki Rolls Royce new model nimekiagiza Marekani moja kwa moja! Halafu weekend hii nadhani tutakuwa Dubai kwa ya matembezi!!
Duh! Kuna watu wanapenda kudandia!! Baada ya kuona bro Vampire anakaribia kuscore mazombi yanajileta hapa!!
Vamp keep goin on!!
 
preta naitwa rugebalila ni mhaya kutoka kwetu kule kwa matajir kagera nina gar langu la v8 nzur sana natembelea full tank ikipungua lita tano naongez

kila nikionana na trafik njian na hajanisimamisha nageuza gar kumuhonga lak maana namuona labda alikuwa na mawazo nilipokuwa napita namiliki vitu ving sana na ninajuana na wabunge weng sana naomba unipe nafas kwenye moyo wako kwenda marekani itakuwa ni kama kichaa kwenda milembe
 
preta naitwa rugebalila ni mhaya kutoka kwetu kule kwa matajir kagera nina gar langu la v8 nzur sana natembelea full tank ikipungua lita tano naongez

kila nikionana na trafik njian na hajanisimamisha nageuza gar kumuhonga lak maana namuona labda alikuwa na mawazo nilipokuwa napita namiliki vitu ving sana na ninajuana na wabunge weng sana naomba unipe nafas kwenye moyo wako kwenda marekani itakuwa ni kama kichaa kwenda milembe
Ngoja kwanza mkuu nipo nae Pm atakujibu baadae au mwezi wa sita Ila sidhani kama atakukubalia!!
 
Achana nao my love,

Sasa Preta ujue mi nakuonaga sku nyingi tu humu,

Nakuzimia balaa, huwezi kushinda njaa, njoo nkupe chapaa, uwaringishie kitaa

Jina lako ni tam, mpaka napata ham, ya kukuomba utam, mpk nikutoe dam

(hapo kwenye dam natania tu)

Nikubali uwe wangu, uwe mwandani wangu, mtamu kama changu, njoo uchezee rungu

Nipe hambalulu, isiwe inaua kama ya lulu, nikujengee hekalu, ule ugali na nswalu

Pretaaaaa oooooh pretaaaaa nipe hambaluluuuu

Preta ooooh Pretaaa nihurumieeeee


Haya mashairi ngoja nikayatumie mahali!
 
Back
Top Bottom