Preview ya Black Panther Wakanda Forever 2022

Iv kati ya Marvel na Disney nani anakimbiza sasa hivi?
Kwa nijavyojua hawa marvel ni tawi la Disney yani Disney alishanunua hiyo kampuni zipo chini yake, yeye ni kutow tu mkwanja kwenye movie wanazoandaa
 
Iv kati ya Marvel na Disney nani anakimbiza sasa hivi?
Unazungumzia disney ipi???
Maana Walt Disney Company LLC ndio inamiliki Marvel. Iliinunua mwaka 2009. . Disney inamiliki makampuni kadhaa ya kutengeneza muvi kama vile Marvel Studio, Lucas Film/Star Wars, 20th Century Fox, Pixar Animation Studio, Walt Disney Pictures na Walt Disney animations

Weka vizuri swali lako upewe uchambuzi
 
Kwa nijavyojua hawa marvel ni tawi la Disney yani Disney alishanunua hiyo kampuni zipo chini yake, yeye ni kutow tu mkwanja kwenye movie wanazoandaa
Yeaah Marvel Studio ipo chini ya Kevin as President ila nae yupo chini ya director wa Walt Disney Bob igler. Wao wanatoa pesa tu na kutoa final say kipi kitengenezwe kipi kisitengenezwe hata ushoga, femmenism hutoka huko huko disney
 
Hivi wale watu wa yts wanapata faida gani kutoa movies free kwa watu na hali ukifatilia movie moja kwa nchi za watu ni gharama sana kuitazama!?
 
Hivi wale watu wa yts wanapata faida gani kutoa movies free kwa watu na hali ukifatilia movie moja kwa nchi za watu ni gharama sana kuitazama!?
Hua kuna matangazo kwenye site zao ndio wanachopata. Ila kwa hizi muvi watasubiri sana hua hazipatikani kirahisi
 
Naomba link nidownload
 
Nawapaga Challenge fans wa Marvel Studio waulize swali lolote kuhusu MCU sijapata challenge kubwa niitakayo!
So if you have any Qns regarding MCU or GOT unaweza uliza. mate!
Okay


1)Nebula ni binadamu au nani hasa kwanini wanaitana dada na Gomora na iweje awe anamtumikia Ronan na Thanos??

2)Chard Wick(Actor wa Black Panther) amekufa kiukweli in real life lakini kule kwenye Movie ya BP ya kwanza hakufa Sasa kwanini kwenye BP hii ya 2022 tunaoneshwa amekufa na hatujaona amekufaje na wapi ??

3)....
 
Okay


1)Nebula ni binadamu au nani hasa kwanini wanaitana dada na Gomora na iweje awe anamtumikia Ronan na Thanos??
Nebula si binaadamu. Kiukweli bado sijajua race yake ni ipi ila kutokana na rangi ya ngozi yake naweza kusema ni Kree. Maana kree ndio wana rangi ya blue.
So Nebula alikua adopted na Thanos kama ilivyokua kwa Gamora baada ya wazazi wao kuuawa. So walikua pamoja kama mkubwa na mdogo ila Thanos alikua anaona kwamba Nebula sio prefect kama Gamora so kila alipokua anaona udhaifu kwa nebula basi aliondoa kiungo na kuweka technology/vyuma kama robot. Ndio maana yupo kama robot baadhi ya viungo vyake.

Kwa mtazamo wangu nahisi Korath the Parsuer ndio alikua anamtengemeza maana jama alikua mwanasayansi. Kama sio Korath basi atakua High revolutionary ndio alimtengeneza. Tutamuona Kwenye Guardian of the Galaxy vol 3.

Ronan alipewa kazi ya kutafuta Power stone ampelekee Thanos, nebula na Gamora wakawa wasaidizi katika mission hiyo japo Gamora aliasi na kuoeleka power stone kwa Tineleer Tivvan (The Collector)
2)Chard Wick(Actor wa Black Panther) amekufa kiukweli in real life lakini kule kwenye Movie ya BP ya kwanza hakufa Sasa kwanini kwenye BP hii ya 2022 tunaoneshwa amekufa na hatujaona amekufaje na wapi ??
Je umesoma mada yote??
Ok. Chad alikufa ila kabla ya kufa tayari muvi ilikua ishaandaliwa bado kushoot tu so alivyokufa ilibidi Ryan Coogler abadirishe script nzima ya muvi na kuifanya kwamba Chad alikufa kwenye muvi. Lakini kwenye muvi walieleza sababu ya kufa kwake wasingeweza kuonyesha alivyokufa maa a Mwigizaji alikua kafa in real life na hawakutaka kumRecast mtu mwingine kucheza kama T'chala
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…