“Hii ilini-touch, Africa tungekuwa na viongozi kumi kama Muheshimiwa Magufuli kwakweli tungekuwa mbali sana badala ya kupata taabu saaaana. Mwenyezi Mungu azidi kubariki kazi ya mikono yako Your Excellency”
Wewe mzururajiSo Afrika ili iendelee inahitaji marais wanaogawa fedha mtaani?
Waafrika wengi kama Prezzo wanapenda maigizo ya juu huu kuliko kufikiri kwa kina.So Afrika ili iendelee inahitaji marais wanaogawa fedha mtaani?
Aisee wamama wanaohitaji msaada kama huyo wa Muhimbili wapo mamilioni Tanzania, so kumgawia mmoja fedha sijui hata kuna effect gani overall
hivi hizi hela mzee baba anazogawa mtaani kama njugu anazipata wapi?So Afrika ili iendelee inahitaji marais wanaogawa fedha mtaani?
Aisee wamama wanaohitaji msaada kama huyo wa Muhimbili wapo mamilioni Tanzania, so kumgawia mmoja fedha sijui hata kuna effect gani overall
Zimetoka kwa wananchi zinarudi kwa wananchi...ofisi ya rais ina pesa ya bajeti yake...hivi hizi hela mzee baba anazogawa mtaani kama njugu anazipata wapi?
Kasema kwa mtazamo wake yeye usilazimishe awe kwenye mpinyusi (gari bovu) lenu..So Afrika ili iendelee inahitaji marais wanaogawa fedha mtaani?
Aisee wamama wanaohitaji msaada kama huyo wa Muhimbili wapo mamilioni Tanzania, so kumgawia mmoja fedha sijui hata kuna effect gani overall
So Afrika ili iendelee inahitaji marais wanaogawa fedha mtaani?
Aisee wamama wanaohitaji msaada kama huyo wa Muhimbili wapo mamilioni Tanzania, so kumgawia mmoja fedha sijui hata kuna effect gani overall
Sasa hapo kuna ubaya gani? Watanzania hatulingani Vipato, rais wa nchi anaishi bure kwa kodi za wananchi wakati bado anamshahala na marupurupu ambayo yako kwa mujibu wa katiba, Hiyo ni sadaka Ametoa, acheni watu watumie matunda ya jasho, sio dhambi kuwa upinzani wake lakini ni vyema mkatumia logic Katika mambo mepesi mepesihivi hizi hela mzee baba anazogawa mtaani kama njugu anazipata wapi?
Dah ahahahhaahha bro.Wewe mzururaji
Mimi si nimetoa mawazo yangu pia?Kasema kwa mtazamo wake yeye usilazimishe awe kwenye mpinyusi (gari bovu) lenu..
Hao wanaoshindwa kulipa pesa za matibabu wako mamilioni kweli wote waki foleni hapa ataweza kuwapa? Tena wengine ni kajiriwa wa serikali. Maana minimum wage kupewa yote saa nyingine hautoshi hata kumtibia member mmoja wa family
haterSo Afrika ili iendelee inahitaji marais wanaogawa fedha mtaani?
Aisee wamama wanaohitaji msaada kama huyo wa Muhimbili wapo mamilioni Tanzania, so kumgawia mmoja fedha sijui hata kuna effect gani overall
angetoa mfano wa kitu cha kipekee sana ambacho Magufuli anafanya na marais wote wa Afrika wameshindwa
hivi hizi hela mzee baba anazogawa mtaani kama njugu anazipata wapi?
Hivi malaisi wa wenzetu, wanagawa fedha kama wa kwetu.So Afrika ili iendelee inahitaji marais wanaogawa fedha mtaani?
Aisee wamama wanaohitaji msaada kama huyo wa Muhimbili wapo mamilioni Tanzania, so kumgawia mmoja fedha sijui hata kuna effect gani overall
angetoa mfano wa kitu cha kipekee sana ambacho Magufuli anafanya na marais wote wa Afrika wameshindwa
Malaisi hawagawi ila Marais Wanagawa.Hivi malaisi wa wenzetu, wanagawa fedha kama wa kwetu.