Prezzo amdhalilisha mtangazaji wa KTN katika Mahojiano ya Live

Prezzo amdhalilisha mtangazaji wa KTN katika Mahojiano ya Live

Hahahahahahah!! Koffi olomide Ana miaka mingapi na bado anatoa hit
1. Wanamuziki wengi, means sio WOTE na ndio maana hata wewe I guess umepata taabu kidogo kutafuta 30+ ambae bado ana-hit!
2. Mie sio shabiki wa DRC Music but tell me-- hivi kweli Koffi huyu ndo yule yule wa enzi zile anapambana na akina Inde moni?!
 
Kiukweli sikutegemea Prezzo afikie huku ... mtangazaji amejitahidi kumrudisha kwenye mstari uliokusudiwa lakini inaonesha Prezzo hajielewi ....inasikitisha sana ...
 
Labda arudi kwa Chaggabebi maana alimkimbia huku mwanamke wa watu akitegemea ndoa.

Mtanzania mwenzenu huyo kupitia Mama yake.
 
Mimi nikajua kamshika tako bwana, pale kamgusa tu..

Na huyo host mwanzo kaombwa kufanywa CM Sister.. Prezoo akakubali..

Kasifiwa kidogooo kuwa kapendeza, akajilegezaaaa..

Angepakatwa je!?



Halafu km siyo kuwa kwenye luninga kwa jinsi demu alivyolegea na kupoteza confidence prezzo angemtia.


Ila huyu boya alienda hapo akiwa amelewa na full stressed.


Aachane na muziki, zamani zake zimeshakwisha.
 
Mbona hamna cha ajabu wala aibu alichofanya prezzoo
 
Long time tungemuona mnyamwezi ila siku hizi tunamuona pimbi tu. ..kiukweli diamond kasaidia sana kuwaona kina prezoo and the likes wakawaida sana. ..
 
Thubutu!! Eti entertainment stunt!!? Gari ishawaka ile tena driver kishaweka mguu kwa mafuta!!

Ni hivi, suala la drug abuse kwa nchi nyingi za Africa ni kama fashion hasa kwa watu wenye uwezo wa kumudu gharama za lazima za maisha matokeo yake wengi kati ya watu wanao hustle kimaisha wakifanikiwa kutoka tu basi they think they may find heaven in the powder! Wengine wanapopatwa na obstacles kidogo tu basi they turn to powder for comfort! !

Hili jambo wala sio zuri kabisaaaaaaa! ! This trending was at the edge once upon a time lakini sasa linavuka mipaka ipo siku tutakutana na shelf ya ngada kwa mini market kama Mexico!!

It is beyond sadness such talent going to waste!
 
Wala sio kweli,hii habari ni stunt tu ili atleast awepo kwenye buzz...hakuna udhalilishaji wowote hapo mbona?

Hii ni stori tu ku creat buzz,hakuna kingine
Wewe ni miongoni mwa wachache tulioliona hili.

Na Prezoo amefanikiwa lengo lake la kutaka watu wamzungumze na kupata attention...Entertainment ina sura nyingi. ..Kuna mwimbaji wa kizungu alivaaga gauni lililotengenezwa kwa nyama hii nayo ni staili ya kutafuta kuzUngumzwa .
 
Back
Top Bottom