Waje tu mbona mgodi wa North Mara si tutawapa tu, wakurya kama wakurya.Unafikiri wanapigana bure?Wanalipwa.Na mara nyingi wanakuwa upande wa serikali inayotaka kubaki madarakani maisha yote. Wale marais wanaotaka kufia madarakani ndo wanawaita Wagner,wanawalipa pesa ndefu mno na wanawapa madini ya dhahabu, diamond na mengineyo bureee kabisa. Wapo Nchini Mali na Africa ya kati.
Ninawaona kama wanakwenda Kenya.Ruto anawahitaji sana ili kukomesha yale maandamano ya Raila.Hapa Tanzania CCM wana amani sana.Hakuna mwenye uthubutu hata wa kuandamana.Waje tu mbona mgodi wa North Mara si tutawapa tu, wakurya kama wakurya.
Mpaka siku mafuta na Madini vitaisha.Africa imegeuka soko zuri la askari wa kukodisha hasa kule Sahel (Mali) na Africa ya Kati.
Lini Africa itaweza kujisimamia yenyewe ?...
Inasikitisha sana,watu wanakodisha majeshi ili tu waendelee kukaa madarakani.Wale wanajeshi Mali wamenogewa na wala sidhani kama watarudisha madaraka kwa utawala wa kiraia tena.Africa imegeuka soko zuri la askari wa kukodisha hasa kule Sahel (Mali) na Africa ya Kati.
Lini Africa itaweza kujisimamia yenyewe ?...
Duuh,kumbe wajomba tayari wapo na wanakula mema kabisaUnafikiri wanapigana bure?Wanalipwa.Na mara nyingi wanakuwa upande wa serikali inayotaka kubaki madarakani maisha yote. Wale marais wanaotaka kufia madarakani ndo wanawaita Wagner,wanawalipa pesa ndefu mno na wanawapa madini ya dhahabu, diamond na mengineyo bureee kabisa. Wapo Nchini Mali na Africa ya kati.
Uzuri wa Wagner hawana uzalendo na upande wowote na wala hawana huruma.Siku wanakuwa nawe na siku wanakusakama kama walivyofanya kwa Putin. Vile vile wakiingia kazini wanapigana kama majini.Mfumo wao huu ndio ulioipa ushindi Urusi kule Bakhmut na siku walipoondoka askari wa Ukraine walifurahi sana,Eti ndipo useme Afrika tutakuja kuishi kwa amani 🙆🙆🙆😪😪
Wapo Sudani pia,wapo na yule mjeshi Dagalo aliekuwa anaua watu Dafur kipindi kile.Burkina Faso pia wapo na Jeshi linalotawala nchi kwa sasa.Too sad Africa inasikitisha mno ,ni Huzuni.Duuh,kumbe wajomba tayari wapo na wanakula mema kabisa
Hatari sana,so means wakija tanzania hatutakuwa tunafaudi kuishi kwa raha hiviWapo Sudani pia,wapo na yule mjeshi Dagalo aliekuwa anaua watu Dafur kipindi kile.Burkina Faso pia wapo na Jeshi linalotawala nchi kwa sasa.Too sad Africa inasikitisha mno ,ni Huzuni.
Kwaio ni kwamba unampiga biti jamaa au?🤔Kabla hujaandika chochote uwe unaushirikisha ubongo wako usidhani kwasababu unatumia jina fake humu ndio ukafikiri huwezi kujulikana
Nyinyi warusi wa Kigoma si mlisema Prigo anaenda Belarus ili awe karibu na Ukraine, nini kimebadilika ?Baada ya utata wa muda mrefu wa mahali alipo kiongozi wa kikundi cha askari wa kukodiwa cha Wagner leo ameonekana hadharani nchini Belarus alikohamishia shughuli zake baada ya jaribio la kutaka kuipindua serikali ya Urusi kuzimwa.
Katika video iliyomuonesha akisalimiana na askari wake aliwaambia askari hao kwamba wamepigana kishujaa sana nchini Ukraine na kwamba kwa sasa hawatapigana tena Ukraine bali wajitayarisha katika vita kama hivyo barani Afrika.
View attachment 2693406
Ustadhi ubwabwa jiheshimu.Kabla hujaandika chochote uwe unaushirikisha ubongo wako usidhani kwasababu unatumia jina fake humu ndio ukafikiri huwezi kujulikana
NAKAZIA,Unafikiri wanapigana bure?Wanalipwa.Na mara nyingi wanakuwa upande wa serikali inayotaka kubaki madarakani maisha yote. Wale marais wanaotaka kufia madarakani ndo wanawaita Wagner,wanawalipa pesa ndefu mno na wanawapa madini ya dhahabu, diamond na mengineyo bureee kabisa. Wapo Nchini Mali na Africa ya kati.