Prigozhin asema hataki tena kupigana Ukraine, anakuja Afrika

Prigozhin asema hataki tena kupigana Ukraine, anakuja Afrika

Unafikiri wanapigana bure?Wanalipwa.Na mara nyingi wanakuwa upande wa serikali inayotaka kubaki madarakani maisha yote. Wale marais wanaotaka kufia madarakani ndo wanawaita Wagner,wanawalipa pesa ndefu mno na wanawapa madini ya dhahabu, diamond na mengineyo bureee kabisa. Wapo Nchini Mali na Africa ya kati.
NAKAZIA,
kuna siku polisi WA Russia walifanya ukaguzi kwenye nyumba ya Wagner wakati alipotaka kumpindua Putin, wakakuta zaid ya Dollar M100+ na vipande vya Gold kama vyote

Wagner hafanyi kazi za njaa na ela anapokea kabla hajafanya kazi
 
Hatari sana,so means wakija tanzania hatutakuwa tunafaudi kuishi kwa raha hivi
Tanzania si rahisi kuja maana hakuna mtu anaetishia uongozi wa Samia.Mfano kule Africa ya kati,Wagner wamemsaidia sana Rais aliyepo madarakani otherwise angeshapinduliwa muda mrefu tu.Na wiki ijayo tarehe 30 anabadili katiba ili aendelee kutawala milele.Wananchi wanapiga kura ya ndiyo ili kuruhusu katiba mpya ili Touadera agombee kipindi cha mhula wa tatu na milele.Waasi walishindwa kumpindua sababu Wagner wanalinda.Na Waasi wamejichimbia huko karibu na Chad.
 
Welcome Sir. You could start by asking Master Karume if he is having any problems,if anyone is troubling him.
Nilisema wakati ule Rais Samia alipokwenda Msumbiji katika Summit ya SADC,ile cocktail summit,kwamba hawa watu wanajidai kupigana Ukraine lakini wana mpango wa kuja Afrika.
Sisi Kiongozi wetu ni Yesu. Karibu yoyote anayetaka kuja Afrika.
 
Fursa kama hizi mbona hatuzichangamkii, humu hakuna ata mtu mmoja mwenye kikosi chake cha kukodisha?
 
Hatari sana,so means wakija tanzania hatutakuwa tunafaudi kuishi kwa raha hivi
Ni kweli inaeza kua hatari. Usihofu.
Jeshi letu lipo Imara na makini, tofauti na wengi wanavyotaka tufikiri, kuwa hatuna Uwezo wa Kijeshi. Tanzania ukisikia Ngome, ni Ngome kweli kweli.
 
Fursa kama hizi mbona hatuzichangamkii, humu hakuna ata mtu mmoja mwenye kikosi chake cha kukodisha?
Hivi akitokea mtu akakusanya "wataalam" 1000 kutoka mikoa kama tanga,dar,pwan,lindi na mtwara,kigoma!kila mmoja amtengenezee majini 100?si jeshi?au majini ukiyatuma vitani yanaogopa?
 
Ni kweli inaeza kua hatari. Usihofu.
Jeshi letu lipo Imara na makini, tofauti na wengi wanavyotaka tufikiri, kuwa hatuna Uwezo wa Kijeshi. Tanzania ukisikia Ngome, ni Ngome kweli kweli.
Ngome kweli ila kwa vifaa haina vya kisasa. Wakileta drone ngome itakaangwa kama broiler wa stendi😀
 
Ngome kweli ila kwa vifaa haina vya kisasa. Wakileta drone ngome itakaangwa kama broiler wa stendi[emoji3]
Daah! Mambo ya warfare yameadvance nafikiri na jeshi litakuwa linaendana na kasi ya ukuaji wa technology.
 
Daah! Mambo ya warfare yameadvance nafikiri na jeshi litakuwa linaendana na kasi ya ukuaji wa technology.
Jeshi letu unaamini litakuwa na drones huku linamiliki ndege za miaka 40 iliopita 😀😀😀
 
Back
Top Bottom