International paid mercenariesBaada ya utata wa muda mrefu wa mahali alipo kiongozi wa kikundi cha askari wa kukodiwa cha Wagner leo ameonekana hadharani nchini Belarus alikohamishia shughuli zake baada ya jaribio la kutaka kuipindua serikali ya Urusi kuzimwa.
Katika video iliyomuonesha akisalimiana na askari wake aliwaambia askari hao kwamba wamepigana kishujaa sana nchini Ukraine na kwamba kwa sasa hawatapigana tena Ukraine bali wajitayarisha katika vita kama hivyo barani Afrika.
View attachment 2693406
Acha kuwaongopea watu wewe Wagner ni Urusi na hata yeye mwenyewe awezi kupinga ilo.Prigozhin mwenyewe kasema Urusi ndo nchi mama na popote walipo Wagner uwezi kukosa bendera ya Urusi.Uzuri wa Wagner hawana uzalendo na upande wowote na wala hawana huruma.Siku wanakuwa nawe na siku wanakusakama kama walivyofanya kwa Putin. Vile vile wakiingia kazini wanapigana kama majini.Mfumo wao huu ndio ulioipa ushindi Urusi kule Bakhmut na siku walipoondoka askari wa Ukraine walifurahi sana,
Kwa bunduki huenda zikawepo za kisasa hilo sina shaka nalo ila mahanjumati kama drones na tactical missile hakuna.Mambo ya kivita yamebadilika sana.Nadhani majeshi yote ya Afrika yana vifaa vilivyopitwa na wakati ukiondoa bunduki za rashasha.
Vita bila drones sasa huwezi kushinda. Vifaru vinakuwa kama keki mbele kijidroni kidogo tu kinachodowea angani na kuona kila kona kutoka angani hata rada za kizamani hawazioni.Kwa bunduki huenda zikawepo za kisasa hilo sina shaka nalo ila mahanjumati kama drones na tactical missile hakuna.
Hahahah sasa vita vya kutumia bunduki tu si mtaisha wote 🤣🤣🤣 sijui hata kama bongo wanafanyaga drills na mataifa kama russia au usVita bila drones sasa huwezi kushinda. Vifaru vinakuwa kama keki mbele kijidroni kidogo tu kinachodowea angani na kuona kila kona kutoka angani hata rada za kizamani hawazioni.
Droni ikiona shabaha yake inashuka mpaka chini kama mwewe na kudondosha bomu.
Kama tunataka Rwanda baada ya kuichukua DP world asije ichukua na bandari yetu basi lazima tuanze kufanya mazoezi ya kivita na mataifa makubwa ili tujuwe namna ya kutumia drones. Kagame nasikia ana jeshi dogo lakini si la kawaida,linapiga kama Wagner.Wanaweza kukatisha kutoka kigoma mpaka Dar es salaam kwa masaa 24 tu.Hahahah sasa vita vya kutumia bunduki tu si mtaisha wote 🤣🤣🤣 sijui hata kama bongo wanafanyaga drills na mataifa kama russia au us
Hahahah hizo story tu mkuu, Kagame anakalishwa mapema mno. Sema nina hisia kuwa anaitaman sana Tanzania. Kwa ujinga unaoendelea atakuja ajimegee kama UkraineKama tunataka Rwanda baada ya kuichukua DP world asije ichukua na bandari yetu basi lazima tuanze kufanya mazoezi ya kivita na mataifa makubwa ili tujuwe namna ya kutumia drones. Kagame nasikia ana jeshi dogo lakini si la kawaida,linapiga kama Wagner.Wanaweza kukatisha kutoka kigoma mpaka Dar es salaam kwa masaa 24 tu.
Hakuna na haitakuja kutokea mkuu, bado tabia yetu ya unyani ina hakisi tulivyo, naona bora kuwakodi hawa Wagner asee kuondoa takataka zinazosumbua!.Lini Africa itaweza kujisimamia yenyewe ?...
Sisi tuna faida tuko wengi, lakini nahofia tuwaoga kidogo.Hivyo akitokea mbabe akatupiga tukafa wengi anaweza akajimegea ardhi halafu akakacha kuondoka miaka nenda miaka rudi tukabaki kulalamika UN kama wapalestina. "Mwambie Rwanda aondoke Kagera,pale ni nchi yetu"Hahahah hizo story tu mkuu, Kagame anakalishwa mapema mno. Sema nina hisia kuwa anaitaman sana Tanzania. Kwa ujinga unaoendelea atakuja ajimegee kama Ukraine
Na baada ya hapo?Waje tu mbona mgodi wa North Mara si tutawapa tu, wakurya kama wakurya.
Ko kuna tatizo ambalo mpaka sasa hatujakutana nalo hapa Africa....!?Furahien ujio wa majeshi ya kigeni ukifika muda mtalia na kusaga magego , yaan unategemea waje kumaliza matatizo yetu ili warudi kwao ? Ili wakaendelee kujibizana na jeshi la Putin na Lukashenko ? mnakaribisha matatizo bila kujua
Sisi Afrika ni bure kabisa.Unafikiri wanapigana bure?Wanalipwa.Na mara nyingi wanakuwa upande wa serikali inayotaka kubaki madarakani maisha yote. Wale marais wanaotaka kufia madarakani ndo wanawaita Wagner,wanawalipa pesa ndefu mno na wanawapa madini ya dhahabu, diamond na mengineyo bureee kabisa. Wapo Nchini Mali na Africa ya kati.
Tutawapa mgodi wa North Mara na Mwadui wachimbeHao wanalipwa billions ,na madini wanachimba .
Hapo Serikali inakuwa wapi?Tutawapa mgodi wa North Mara na Mwadui wachimbe
😆Ngome kweli ila kwa vifaa haina vya kisasa. Wakileta drone ngome itakaangwa kama broiler wa stendi😀
Ushuzi mtupuKama tunataka Rwanda baada ya kuichukua DP world asije ichukua na bandari yetu basi lazima tuanze kufanya mazoezi ya kivita na mataifa makubwa ili tujuwe namna ya kutumia drones. Kagame nasikia ana jeshi dogo lakini si la kawaida,linapiga kama Wagner.Wanaweza kukatisha kutoka kigoma mpaka Dar es salaam kwa masaa 24 tu.