Royal Warrior
JF-Expert Member
- Nov 19, 2015
- 1,166
- 2,143
Habar za saa hizi wadau..
Nauliza kama kuna mtu anayejua shule nzuri ya primary ya kiislam (iwe ya boarding) iliyopo dar es salaam ambayo ni nzuri kitaaluma na ada ni nafuu.
Natanguliza shukrani .
Nauliza kama kuna mtu anayejua shule nzuri ya primary ya kiislam (iwe ya boarding) iliyopo dar es salaam ambayo ni nzuri kitaaluma na ada ni nafuu.
Natanguliza shukrani .