Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kdb ni specialist kwenye Eneo lake kama mtengezaji, kwa Kizazi Chetu Fabregas, Di Maria, Kdb, Neymar, Ozil na to some Extent Messi walikua kwenye level ya Peke yao.wakuu njoo mtoe ya moyoni katika ubora wa Pogba na ubora wa KDB. nani unamuona Yuko juu ya mwenzake?
Ila Yaya Toure alikua anacheza kama center back pia namba 10. Versatile player.Yaya hafiki pia KDB ni KDB TU
TAFUTA NUMBER GOALS kati alafu ujeKdb ni specialist kwenye Eneo lake kama mtengezaji, kwa Kizazi Chetu Fabregas, Di Maria, Kdb, Neymar, Ozil na to some Extent Messi walikua kwenye level ya Peke yao.
Ila ukitoa Utengenezaji Nafasi Peak Pogba anampita peak Kdb nyanja zingine zote zilizobakia, Ufungaji, uchezeshaji, ukabaji, pressing, pace, Aerial duels, etc.
Ana hoja lakini hii fainali naikumbuka 2009 alicheza center backUtakuwa unachekesha lini Yaya kacheza center back?
Hapa imechaguliwa rangi sio mpiraPogba has never reached prime, he is yet to have achieved his prime, in any case Pogba is talented and skillful than Kelvin
Hapo ni kwenye makaratasi ila uwanjani pique na puyol ndo waliziba mabeki wa katiAna hoja lakini hii fainali naikumbuka 2009 alicheza center back
View attachment 3122054
Akiwa anacheza timu gani na mwaka gani?Hivi mnaombeza Pogba mliwahi kumuangalia vizuri au mnaropoka tu kama machizi