Prime Pogba vs prime KDB who is the best?

Prime Pogba vs prime KDB who is the best?

Barca ilikuwa siyo team ya kilimbia pembeni
Walikuwa wanapiga pasi nyingi
Hapo kati
Viungo wakabaji
Yaya
Busquet

Viungo washambuliaji
Xavi
Iniesta
Mesi

Washambuliaji
Henry
Eto

Barca walitumia mbinu ya winga mara chache sana wakimtumia David Villa
Mwambie uyo
 
Yaya alicheza kama beki.

Barcelona alitumia mfumo wa 4-3-3. Hayo mengine yakulazimisha Yaya anacheza no 6 niyakwako. Lakini Guardiola akiwa Barcelona alimpiga bench yaya na nafasi yake akawa anacheza Sergio. B, nahata hizo mechi mbili alizocheza nikwasababu beki wa pembeni no 2 aliumia.

Na baada ya msimu huo Yaya 2010 alieondoka Barcelona, akiwa analalamikia Guardiola nimbaguzi hapendi wachezaji weusi na nibaada yakupigwa bench nafasi yake ikichukuliwa na SB akitokea Barcelona B.
Alikuwa mlalamishi tu Yaya ila hajafika robo ya uwezo wa busquets
 
hujajibu swali? Kama bartha walitumia 3~5~2 je hao mabeki wawili wa pembeni walikuwa ni nani na nani? Na kama walitumia mawinga je hao mawinga walikuwa nani na nani? Nijibu ili nikufundishe mpira bure bila ada.
Number 7 mesi 11 ni henry
 
Wakuu njoo mtoe ya moyoni katika ubora wa Pogba na ubora wa Kelvin DB. nani unamuona Yuko juu ya mwenzake?

Mchezaji mjinga mjinga kama Pogba unamuweka katika ulinganishi na fundi KDB, kijana hauna nidhamu kabsa
 
Kwangu paul pogba ni bora zaidi, anakuoa vitu vingi sana uwanjani, like jamaa liliharibu kwenda man u, lingeenda madrid ile ya kina cr7 saa hizi lina makombe chungu nzima.
 
Kwangu paul pogba ni bora zaidi, anakuoa vitu vingi sana uwanjani, like jamaa liliharibu kwenda man u, lingeenda madrid ile ya kina cr7 saa hizi lina makombe chungu nzima.
Labda Hadi Akitumia madawa yake kwenda man u sio hoja ukiwa mzuri unatoka kokote tu

KDB mbona kawa star akiwa Wolfsburg baada ya kutoswa na chelsea
 
Labda Hadi Akitumia madawa yake kwenda man u sio hoja ukiwa mzuri unatoka kokote tu

KDB mbona kawa star akiwa Wolfsburg baada ya kutoswa na chelsea
We wolfsburg unataja jina ama timu ambayo alicheza KDB, wolfsburg ile ni bora mara 3 ya man united hii.

Pogba wa man u hakuwa sana na wa national team.
Juhudi zake, ubora wake ulikuwa unafifishwa na mazazamwa ya man u.
 
Yes KDB ni hatari yenyewe ila kwa hizi comments nazoziona za kumbeza Pogba nadhani wengi bado hawamjui Pogba na pengine hawakumuona akiwa kwenye ubora japo hakufika kilele cha ubora.

Nakumbuka 2016 zilikua zinatoka makala kibao zikisema Pogba na Neymar ndio the next Ballon d'or winners. Walikua kwenye ubora hasa.
 
Back
Top Bottom