FK21
JF-Expert Member
- May 27, 2019
- 8,600
- 10,760
- Thread starter
- #101
Mwambie uyoBarca ilikuwa siyo team ya kilimbia pembeni
Walikuwa wanapiga pasi nyingi
Hapo kati
Viungo wakabaji
Yaya
Busquet
Viungo washambuliaji
Xavi
Iniesta
Mesi
Washambuliaji
Henry
Eto
Barca walitumia mbinu ya winga mara chache sana wakimtumia David Villa