ngara23
JF-Expert Member
- Aug 31, 2019
- 9,091
- 21,087
Na Carlos Puyol na Pique walijipangaje uwanjanisio kweli, yaya alizima kama cb na gadiola alishawahi kulitolea ufafanuzi why alimchezesha yaya kama cb.
Nambie hapo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na Carlos Puyol na Pique walijipangaje uwanjanisio kweli, yaya alizima kama cb na gadiola alishawahi kulitolea ufafanuzi why alimchezesha yaya kama cb.
puyol alicheza namba 2(full back wa kulia), pique alicheza namba 5 na toure namba 4, namba 6 sergio buskets,namba 8 xavi, namba 10 iniesta. Ulikuwa chekechea nadhani so hukuiangalia mechi na alizima vizuri tu.Na Carlos Puyol na Pique walijipangaje uwanjani
Nambie hapo
Hapana kabisapuyol alicheza namba 2(full back wa kulia), pique alicheza namba 5 na toure namba 4, namba 6 sergio buskets,namba 8 xavi, namba 10 iniesta. Ulikuwa chekechea nadhani so hukuiangalia mechi na alizima vizuri tu.
puyol alicheza namba 2(full back wa kulia), pique alicheza namba 5 na toure namba 4, namba 6 sergio buskets,namba 8 xavi, namba 10 iniesta. Ulikuwa chekechea nadhani so hukuiangalia mechi na alizima vizur
Kumbuka mabeki wa pembeni wa Barca enzi ivopuyol alicheza namba 2(full back wa kulia), pique alicheza namba 5 na toure namba 4, namba 6 sergio buskets,namba 8 xavi, namba 10 iniesta. Ulikuwa chekechea nadhani so hukuiangalia mechi na alizima vizuri tu.
yaya toure alicheza namba ngapi kwenye hiyo mechi? Na pep alitumia mfumo gani?Hapana kabisa
Puyol na Pique ndo walizima mabeki wa kati
Yaya na busquet waliziba kati
Coach akicheza na viungo wengi akitumia mabeki wa 3
Puyol hajawahi kucheza beki wa pembeni
Aliziba kati na busquetyaya toure alicheza namba ngapi kwenye hiyo mechi? Na pep alitumia mfumo gani?
kwenye hiyo mechi ya bartha vs utd kati ya hao nani alianza?Kumbuka mabeki wa pembeni wa Barca enzi ivo
Zambrota
Alves
Jordi Alba
Abdali
Hakuna aliyeanzakwenye hiyo mechi ya bartha vs utd kati ya hao nani alianza?
hao mabeki watatu alikuwa nani na nani?Aliziba kati na busquet
Mfumo 3-5-2
ok sawa yaya toure aliyecheza namba ngapi kwenye hiyo mechi?Hakuna aliyeanza
Puyolhao mabeki watatu alikuwa nani na nani?
Ndo nawaeleza puyol hajawahi kucheza beki wa pembeniJord alba kaja juzi tu mzee Bora ungemtaja maxwell
Acha ubishi .Hapo ni kwenye makaratasi ila uwanjani pique na puyol ndo waliziba mabeki wa kati
Yaya na busquet walikuwa viungo wakabaji
ok sawa yaya toure alicheza namba ngapi?Puyol
Pique
Silyvinho
Mbele kule akicheza
Henry
Eto
Consistency ndicho Pogba hawezi.Takwimu zipi zipo wapi?, Em nambie kitu ambacho KDB anafanya uwanjani ambacho Pogba Hawezi?