Prime Pogba vs prime KDB who is the best?

Prime Pogba vs prime KDB who is the best?

MPIRA UMEANZA KUUSHABIKIA JANA? YAYA TOURE KAZIMA KAMA CENTRAL BACK BARCELONA TENA KWENYE MECHI YA FAINALI BARCELONA VS MAN UTD, NA UTD WAKAPOTEA VIZURI TU.KIPINDI HICHO
Si mechi moja tu
 
Na Carlos Puyol na Pique walijipangaje uwanjani
Nambie hapo
puyol alicheza namba 2(full back wa kulia), pique alicheza namba 5 na toure namba 4, namba 6 sergio buskets,namba 8 xavi, namba 10 iniesta. Ulikuwa chekechea nadhani so hukuiangalia mechi na alizima vizuri tu.
 
puyol alicheza namba 2(full back wa kulia), pique alicheza namba 5 na toure namba 4, namba 6 sergio buskets,namba 8 xavi, namba 10 iniesta. Ulikuwa chekechea nadhani so hukuiangalia mechi na alizima vizuri tu.
Hapana kabisa
Puyol na Pique ndo walizima mabeki wa kati
Yaya na busquet waliziba kati
Coach akicheza na viungo wengi akitumia mabeki wa 3
Puyol hajawahi kucheza beki wa pembeni
 
puyol alicheza namba 2(full back wa kulia), pique alicheza namba 5 na toure namba 4, namba 6 sergio buskets,namba 8 xavi, namba 10 iniesta. Ulikuwa chekechea nadhani so hukuiangalia mechi na alizima vizur

puyol alicheza namba 2(full back wa kulia), pique alicheza namba 5 na toure namba 4, namba 6 sergio buskets,namba 8 xavi, namba 10 iniesta. Ulikuwa chekechea nadhani so hukuiangalia mechi na alizima vizuri tu.
Kumbuka mabeki wa pembeni wa Barca enzi ivo
Zambrota
Alves
Jordi Alba
Abdali
 
Hapana kabisa
Puyol na Pique ndo walizima mabeki wa kati
Yaya na busquet waliziba kati
Coach akicheza na viungo wengi akitumia mabeki wa 3
Puyol hajawahi kucheza beki wa pembeni
yaya toure alicheza namba ngapi kwenye hiyo mechi? Na pep alitumia mfumo gani?
 
puyol alicheza namba 2(full back wa kulia), pique alicheza namba 5 na toure namba 4, namba 6 sergio buskets,namba 8 xavi, namba 10 iniesta. Ulikuwa chekechea nadhani so hukuiangalia mechi na alizima vizuri tu.
Upo sahihi
 
Back
Top Bottom