Prince Dube ameshakula ameshiba anawasubiri Utopolo

Prince Dube ameshakula ameshiba anawasubiri Utopolo

OKW BOBAN SUNZU

Platinum Member
Joined
Aug 24, 2011
Posts
53,868
Reaction score
121,001
images.jpeg


MOTO uliouwasha Prince Dube sio wa kitoto kwani jamaa unalijua goli balaa. Mpaka sasa Dube ndiye unayeongoza kwa mabao kwenye Ligi Kuu ukifungana na mfungaji bora wa msimu uliopita Meddie Kagere wa Simba.
Dube ndiye unayeibeba Azam kwa sasa, pale Yanga sioni beki wa kukuzia kwa maji anayomwaga Iddi Nado najua utapiga zaidi ya goli 2 wale Utopolo.

Najua umeshakula umeshiba unasubiri kuninyooshea Utopolo saa 2 usiku. Unajua nini ukiwapiga utopolo leo ubingwa utakuwa umeongeza CV. Jitahidi mdogo wangu ufike hata Simba Sc tu
 
View attachment 1763750

MOTO uliouwasha Prince Dube sio wa kitoto kwani jamaa unalijua goli balaa. Mpaka sasa Dube ndiye unayeongoza kwa mabao kwenye Ligi Kuu ukifungana na mfungaji bora wa msimu uliopita Meddie Kagere wa Simba.
Dube ndiye unayeibeba Azam kwa sasa, pale Yanga sioni beki wa kukuzia kwa maji anayomwaga Iddi Nado najua utapiga zaidi ya goli 2 wale Utopolo.

Najua umeshakula umeshiba unasubiri kuninyooshea Utopolo saa 2 usiku. Unajua nini ukiwapiga utopolo leo ubingwa utakuwa umeongeza CV. Jitahidi mdogo wangu ufike hata Simba Sc tu
Hawa hatuna nao shida, safari hii mnyama tunamchesha supu kabisa.

Sent from my TECNO K7 using JamiiForums mobile app
 
Hata on target tu hawatapata kama Mbumbumbu kule Mapinduzi
 
View attachment 1763750

MOTO uliouwasha Prince Dube sio wa kitoto kwani jamaa unalijua goli balaa. Mpaka sasa Dube ndiye unayeongoza kwa mabao kwenye Ligi Kuu ukifungana na mfungaji bora wa msimu uliopita Meddie Kagere wa Simba.
Dube ndiye unayeibeba Azam kwa sasa, pale Yanga sioni beki wa kukuzia kwa maji anayomwaga Iddi Nado najua utapiga zaidi ya goli 2 wale Utopolo.

Najua umeshakula umeshiba unasubiri kuninyooshea Utopolo saa 2 usiku. Unajua nini ukiwapiga utopolo leo ubingwa utakuwa umeongeza CV. Jitahidi mdogo wangu ufike hata Simba Sc tu
Leo Dube lazima awakekete Utopolo
 
Azam ni timu ambayo kwakweli kuipa imani ya kushinda mmh hapana ase, leo utanambia mkuu hamna timu hapo, timu yenyewe ndio wale akina sure boy, hahaha!! Haezi mfunga yanga
View attachment 1763750

MOTO uliouwasha Prince Dube sio wa kitoto kwani jamaa unalijua goli balaa. Mpaka sasa Dube ndiye unayeongoza kwa mabao kwenye Ligi Kuu ukifungana na mfungaji bora wa msimu uliopita Meddie Kagere wa Simba.
Dube ndiye unayeibeba Azam kwa sasa, pale Yanga sioni beki wa kukuzia kwa maji anayomwaga Iddi Nado najua utapiga zaidi ya goli 2 wale Utopolo.

Najua umeshakula umeshiba unasubiri kuninyooshea Utopolo saa 2 usiku. Unajua nini ukiwapiga utopolo leo ubingwa utakuwa umeongeza CV. Jitahidi mdogo wangu ufike hata Simba Sc tu
 
Hapa ni kila mtu ashinde mechi zake tu, tusitegemee azam kumfunga yanga, azam huwa sina imani nao kabsa
 
View attachment 1763750

MOTO uliouwasha Prince Dube sio wa kitoto kwani jamaa unalijua goli balaa. Mpaka sasa Dube ndiye unayeongoza kwa mabao kwenye Ligi Kuu ukifungana na mfungaji bora wa msimu uliopita Meddie Kagere wa Simba.
Dube ndiye unayeibeba Azam kwa sasa, pale Yanga sioni beki wa kukuzia kwa maji anayomwaga Iddi Nado najua utapiga zaidi ya goli 2 wale Utopolo.

Najua umeshakula umeshiba unasubiri kuninyooshea Utopolo saa 2 usiku. Unajua nini ukiwapiga utopolo leo ubingwa utakuwa umeongeza CV. Jitahidi mdogo wangu ufike hata Simba Sc tu
Huyu lazima aende Simba !
 
Back
Top Bottom