NAWATAFUNA
JF-Expert Member
- Nov 14, 2019
- 13,284
- 24,047
Kweli Dube amekula na akashiba,sio kwa shuti lile.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unamkosea heshima tshabaDube kapiga goli kama la Simba,kaza mwanangu ufike hata Simba tu
Umeona mpira wa Azam ? [emoji23][emoji23]Azam haezi mfunga yanga, labda atoe draw, hamna timu pale, game ya leo yanga anashinda mapema
Dube,anakusalimia[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hapa ni kila mtu ashinde mechi zake tu, tusitegemee azam kumfunga yanga, azam huwa sina imani nao kabsa
Daaah tutabirie kuhusu Kimbunga Jobo bas[emoji23][emoji23]View attachment 1763750
MOTO uliouwasha Prince Dube sio wa kitoto kwani jamaa unalijua goli balaa. Mpaka sasa Dube ndiye unayeongoza kwa mabao kwenye Ligi Kuu ukifungana na mfungaji bora wa msimu uliopita Meddie Kagere wa Simba.
Dube ndiye unayeibeba Azam kwa sasa, pale Yanga sioni beki wa kukuzia kwa maji anayomwaga Iddi Nado najua utapiga zaidi ya goli 2 wale Utopolo.
Najua umeshakula umeshiba unasubiri kuninyooshea Utopolo saa 2 usiku. Unajua nini ukiwapiga utopolo leo ubingwa utakuwa umeongeza CV. Jitahidi mdogo wangu ufike hata Simba Sc tu
TayariLeo Dube lazima awakekete Utopolo
Weee bibi mvaa vjora na madela vp tena.Hata on target tu hawatapata kama Mbumbumbu kule Mapinduzi
Kwan wewe ni nan AZAM asifanye yakeAzam ni timu ambayo kwakweli kuipa imani ya kushinda mmh hapana ase, leo utanambia mkuu hamna timu hapo, timu yenyewe ndio wale akina sure boy, hahaha!! Haezi mfunga yanga