Kiweriweri
JF-Expert Member
- Jan 3, 2012
- 2,150
- 3,086
Bora sisi Utopolo damu changa zimetamalaki ... Chama(20), Dube (18), Baleke (17), Muda (19), Scudu, (19), Guede (21) nk.View attachment 3035294
Huyo mwamba hapo ualaza ushaanza kumnyemelea ila unaambiwa ni kinda la miaka 21 ligi ianze tu tuanze kusikia kelele za mangungu tuachie timu yetu
Haitustui....Mchezaji Bora katika kutoka Azam Fc Prince Dube amesajiliwa na mabingwa wa kihistoria Dar Young Africans.
Young Africans waendelee kuimarisha timu kwa kufanya Usajili makini bila kukurupuka.
Prince Dube amesajiliwa ataitumika Dar Young Africans kwa miaka miwili, Prince Dube anauzoefu mkubwa katika league yetu ya Tanzania tunaimani atafanya vyema hata mashindano ya nje.
Ikumbukwe hadi sasa wameendeleza ubabe wa kuchukua mara tatu mfululizo na kwa kikosi hichi hakuna team itakayoisumbua Dar Young Africans ndani ya Tanzania na African kwa ujumla.
Prince Dube ataungana na Pacome, Stephan Aziz Ki, Clatous Chota Chama, Khalid Aucho, Max, Mudathir na wengi katika kikosi cha Young Africans kwa mwaka 2024/2025 na 2025/2026.
View attachment 3035288View attachment 3035737View attachment 3035738
Muache Guede wangu!
Yanga wakimfukuza Guede mimi na ushabiki basii
Ndio! Guede namjua! Hana kiwiliwili kama hichoDuh! Ihefu tena ambayo ilishauzwa na kubadilishwa jina!! Hii itakuwa ni taarifa ya uongo uliotukuka.
Anaenda Singida Black Star (Ihefu).Duh! Ihefu tena ambayo ilishauzwa na kubadilishwa jina!! Hii itakuwa ni taarifa ya uongo uliotukuka.
Ila akiwa uwanjani anawafunga Mbumbumbu.Haitustui....
Injury prone player.....trip mazoezini trip hospitalini.
Ana nyota ya nesi...anapenda hospitali kuliko uwanjani.
Aiwastui kawakanda mara ngapiHaitustui....
Injury prone player.....trip mazoezini trip hospitalini.
Ana nyota ya nesi...anapenda hospitali kuliko uwanjani.
Tusubiri msimu uanze tunaomba uendelee kusajili lawama hatujazoea mkuu kama msimu uliopita mara Jobe hafai mara Freddy Tafadhari sajili mkuu.View attachment 3035287
Naskia kati ya hao wawili kuna mmoja ndio yeye.
Ila kutokana na mfululizo wa sajili za umri mkubwa napata tabu mno kutambua yupi boss na yupi mchezaji.
Karibu Jangwani upate furaha ya kweli mtani πUwiiii....πππππmzee wa mastory ya town...hapo umepuyanga...
Kama unanipenda niache huku huku maana huku ndipo furaha yangu ilipo...ππππKaribu Jangwani upate furaha ya kweli mtani π
Huwa naumia sana nikikuona unalalamika kuhusu Simba, ndio maana kabla msimu haujaanza nakuita mapema πKama unanipenda niache huku huku maana huku ndipo furaha yangu ilipo...ππππ