Kalpana
JF-Expert Member
- Jun 16, 2017
- 32,603
- 62,269
Sijawahi kulalamika kuhusu Simba mm..mm tushinde au tusishinde nipo...huwa siipondi kabisa timu yangu.. 🤣 🤣 🤣 🤣Huwa naumia sana nikikuona unalalamika kuhusu Simba, ndio maana kabla msimu haujaanza nakuita mapema 😅
WW subiri ligi ianze...utanikumbusha tena..