Raymanu KE
JF-Expert Member
- Jan 20, 2022
- 8,611
- 16,118
Mimi Ni mfuatiliaji mzuri sana wa muziki hasa hasa muziki wa Bongo Fleva na hip hop. Kwa hapa Tanzania wapo wasanii wawili ambao wametamba Sana kwenye muziki toka enzi hizo mpaka leo hii bado wanakaza buti.
Prince Dully Sykes na Mr Blue ndio miamba wenyewe. Yaani Hawa miamba wameimba nyimbo nyingi Sana kudadeki. Katika ukanda huu wa Africa Mashariki na Kati Hakuna msanii ambaye amewahi kufanya collaborations nyingi Kama Dully Sykes na Mr Blue.
Hawa wasanii wawili wanaaminika kuwa ndo wasanii pekee ambao wameshirikishwa sana na wasanii wengi kwenye nyimbo zao kuliko wasanii wengine wote.Yaani Hawa wasanii wapo tayari kufanya collaboration na msanii yeyote atakayekuja mbele yao,hawabagui Wala hawachagui.
Binafsi nawakubali Sana Hawa wasanii 2 na juzi Kati Dully Sykes aliachia kibao kizuri Sana kinachoitwa Ananipagawisha. Kwangu hii Ni classic song.
Hebu tuanze kutaja nyimbo ambazo zilimbwa na hawa wasanii wawili especially collaborations. Mimi naanza hi I [emoji116][emoji116]
Dully Sykes ft Lava Lava- Balaa
Prince Dully Sykes na Mr Blue ndio miamba wenyewe. Yaani Hawa miamba wameimba nyimbo nyingi Sana kudadeki. Katika ukanda huu wa Africa Mashariki na Kati Hakuna msanii ambaye amewahi kufanya collaborations nyingi Kama Dully Sykes na Mr Blue.
Hawa wasanii wawili wanaaminika kuwa ndo wasanii pekee ambao wameshirikishwa sana na wasanii wengi kwenye nyimbo zao kuliko wasanii wengine wote.Yaani Hawa wasanii wapo tayari kufanya collaboration na msanii yeyote atakayekuja mbele yao,hawabagui Wala hawachagui.
Binafsi nawakubali Sana Hawa wasanii 2 na juzi Kati Dully Sykes aliachia kibao kizuri Sana kinachoitwa Ananipagawisha. Kwangu hii Ni classic song.
Hebu tuanze kutaja nyimbo ambazo zilimbwa na hawa wasanii wawili especially collaborations. Mimi naanza hi I [emoji116][emoji116]
Dully Sykes ft Lava Lava- Balaa