chazachaza
JF-Expert Member
- Feb 21, 2018
- 2,829
- 3,835
Hii ni ya kwanza zitafuatia nyingine.
What difference does it make? Si wanampa hela ya matunzo? Kwanza huyo ni askari wa miamvuli kama wale wa Mkapa(RIP). anatua anapepea. Atalala njaa kweli?Hii ni ya kwanza zitafuatia nyingine.
Aisee aangalie tu wasije wakamtanguliza kuzimu ..shauri yake'Tatizo wao wanaona kama Royal life ni big deal sana, mpaka wakawa wanaona kama Meghan aliihitaji sana ile title.
So, wao waneonesha hata hiyo title hawaitaki. Hicho ndiyo kinawauma.
Hii ndio point ya msingi, haiamini tangu Princess Diana alipokufa kwa ajali.royal life iliondoka na uhai wa mama yake, usidhani ni jambo dogo hili kusahau
Uko sahihi sana broTatizo wao wanaona kama Royal life ni big deal sana, mpaka wakawa wanaona kama Meghan aliihitaji sana ile title.
So, wao waneonesha hata hiyo title hawaitaki. Hicho ndiyo kinawauma.
Harry hataki kuambatana na ushetani wa Buckingham...na hizo rumours za mamaake ndo kabisa anajisikia kutapika[emoji848][emoji26]Lakini ni wenyewe waliombwa wavuliwe. Kumbuka Prince Harry alivyorudi kutoka Marekani Uingereza 2019 aliwaambia watu just call me Harry.
Ni royal family inatapatapa kwa kujisikia vibaya prince Harry hajali.
Weee alikuwa anamuonea wivuu[emoji1787][emoji1787]Kate alimchukia Meghan sasa kazi zimemzidi kimo
Netflix?Na wamepata deal kubwa la 150 million us dollars hii inawauma sana waingereza wengi. Yani ukiona comments zao kwenye social media dhidi ya Harry na Meghan ni bora tu waliondoka.
Pia Meghan anaficha mengi aliyoipitia.
Na kawakomesha.... Harry kapata mke sahihiTatizo wao wanaona kama Royal life ni big deal sana, mpaka wakawa wanaona kama Meghan aliihitaji sana ile title.
So, wao waneonesha hata hiyo title hawaitaki. Hicho ndiyo kinawauma.
Unamaanisha nini?Isikie tu royal life mzee,ni zaidi ya big deal.
Huyu harry ni mwehu for now,
I respect his decision but;
Time will tell, love is blind and few can see
[emoji122][emoji122][emoji122] imagine this[emoji24][emoji24][emoji22]royal life iliondoka na uhai wa mama yake, usidhani ni jambo dogo hili kusahau