Princess Tiffah Dangote, followers kibao Instagram

Princess Tiffah Dangote, followers kibao Instagram

wabongo wote walio instagram pamoja na ww mlembe inawasubiri
 
Ukitaka kuona wajinga wengi na mambumbu nchi hii angalia watu wanaowafollow..
Yaani watu wamekalia kufatilia umbea nchi hii!
 
Sasa kwani Kinapungua kitu gani huyu mtoto wakimfollow watu?!Ujinga ni kumfollow Tiffah tu?ila ukimfollow Snura majanga ni sawa eti?!

Usichokipenda wewe wenzako wanakipenda!
Halafu Tiffah ni Ambassador wa NMB KID ACCOUNT,MSASANI MALL,PUGU MALL.

Tiffah ni muajiriwa,kuzidi hata nyie munaojishaua humu JF kujifanya werevu,Tiffah kila unachomuona anakivaa au kuendesha vile vigari vyake basi ujue yuko kazini!!
ameajiriwa? Aisee watanzania tuna safari ndefu huyo mtoto kumbe ni muajiriwa?
 
Majority ni wapuuzi sijasema wote.. Na sio huyo mtoto tu mpaka wazazi wake majority ya followers ni kama nyumbu tu.. If they really love Diamond wangempa support hata kwa kufollow hao mabosi wake Diamond Vodacom.. It's a shame uwe ambassador wa brand yenye followers wasiozidi laki moja angali wewe mwenyewe una followers million 2...

Ngoja niendelee kukufunulia unyumbu wa followers wa kitanzania huko kwenye mitandao.. Idris Sultan alivyotoka BBA alifungua brand yake ya Tshirt akaiita Sultanation, dogo hakuweza kuuza hata T-shirt 100 brand ikafa.. Diamond mwenyewe ana brand ya Wasafi ina mpaka chupi na boxer ila binafsi sijawahi kuiona madukani wala kuona mtu amevaa, Wema Sepetu ana hizo lipstick ilifika mahali akapunguza 50% ya price lakini bado hauzi chochote... Tukija kwa wenzetu wenye uelewa, Lebron James mcheza basketball wa NBA ni Ambassador wa Nike ana viatu vyake vinaitwa Lebrons mwaka jana aliuza $ 340 Million (Billion 700 za Kitanzania), Stephen Curry mcheza basket pia alisaidia kampuni ya Under Armor kuongeza soko lake kwa 600% ya total sales kwa raba zake zinazouzwa kwa brand hiyo.. Let alone wanamuziki kama Pdidy na Ciroc na 50 Cent na Effen.. Ninachotaka kukwambia ni kwamba mashabiki, followers wengi wa Kitanzania ni watu wasio na akili sawasawa, wanafki na wasiojielewa.. Ndio maana hata huyo Diamond hataki kutoka Album sababu anajua hatauza chochote maana hawatanunua... Followers wengi wa Instagram na mitandao mingine hawajielewi na hawana akili sawasawa.. Nimesema wengi sijasema wote..
wabongo wengi wanafuatilia umbea tu kwenye hii mitandao ya kijamii ..TCRA bora iufungie instagram...ndio mtandao unaoongoza kwa kuwa na wapuuzi wengi
 
wabongo wengi wanafuatilia umbea tu kwenye hii mitandao ya kijamii ..TCRA bora iufungie instagram...ndio mtandao unaoongoza kwa kuwa na wapuuzi wengi

Well said... Huu upumbavu wa instagram siuoni twitter kabisa.. Wafungie huu mtandao
 
Wewe ndio huelewi... Watu wengi wanamfolo Tiffah kwasababu anawaburudisha. You just don't know the power of the baby kwenye kufanya watu wenye furaha.

Ukipata mtoto utaelewa..... Otherwise you're blind to these angels.
 
Kwahio na mimi hazimo mana nimemfuata huyo mtoto
 
Kumbe bado hujaacha uongo tu
Uongo gan sasa n pakistan nilienda yaan safari za mwaka jana unaniuliza leo ile i.d yko nyingine playboy babu umeacha kuitumia
 
Uongo gan sasa n pakistan nilienda yaan safari za mwaka jana unaniuliza leo ile i.d yko nyingine playboy babu umeacha kuitumia
Id yangu ni moja tu sina nyingine ila kudanganya Kama ni mademu utawapata tu bila uongo
 
Back
Top Bottom