Prisoner 46664 Please Take Me to A Dinner Date (Nani Kuibuka Mshindi!)

Prisoner 46664 Please Take Me to A Dinner Date (Nani Kuibuka Mshindi!)

lara 1

JF-Expert Member
Joined
Jun 10, 2012
Posts
15,700
Reaction score
29,164
Peopleeeeeeeeessssssssssssssss!!!!!!!!!!!!!!!!!!

Kumekuwa na mpambano wa chini kwa chini kila mtu kutaka kujiposition kwa Prisoner 46664 wazi wazi na kisirisiri!!!! Sasa Kujihakikishia ushindi tumeleta Battle of The Babes!!!!!!!! Kila Contenstant atasema kipi kimemvutia kwa Prisoner 46664 na WHY ashinde!!!!!!!!!!


Mashabiki unakubaliwa kumshabikia yoyote alieamua kujitosa si kumpendekeza asiejitosa!

Yoyote mdada ukijiona uko fiti we jitose tu, fata vigezo hapo juu!


Mwisho Prisoner 46664 atachagua aende nani hiyo dinner, Anacover full cost ya dinner, usafiri, hata chumba ukitaka! Mshindi anachagua hotel au lounge ya kudine au kugida maji! (What a gentle Man)


And May the WAR BEGIN!!!!!!!!!!
 
Last edited by a moderator:
heheheheheheeiyaaa goma limeanza mashosti njooni tuanze mtanange.....lazima watoke KO leo...cheyezaaa
 
mie naanza kama hivi...Prisoner ni mwanaume wa ukwee kikubwa kilichonivutia kwake ni uaminifu....13 years na ex si mchezo tena bila kuonja tunda hadi wajanja wakamzidi ni bonge la sifa kwangu!!! mwanaume wa hivi waweza mwacha na beki3 hata mwaka mzima na asimgegede aka mzabzab, sipendi kushare mhogo na chic yeyote so nikimpata prisoner i will b a queen in his world.....pia napenda mwanaume muwazi...ka mie mwenyewe...na prisoner amedhihirisha hilo, men waongowaongo na wenye misecret hawanipi mzuka kabisa.prisoner mie ni manzi wa ukwee...ahahahah yani nimekamilika idara zote, idara ya usalama wa mahusiano ndo usiseme full mautundu so come 2m baby and get the chance to enjoy the full package kwa raha zako....ishu ya mkwanja si tatizo kwani we attitude yako 2 towards ladies imenifanya nijitoe mzimamzima 4 anythng u want....hao wengine usiwasikize hawana sifa...just say yes an Ciello will b at ur disposal
 
Last edited by a moderator:
mbona wamekimbia?? kumbe mnaweza mapamban o ya vichochoroni tu...hahahahah
 
kaa pembeni ww!! mashosti wamesepa wote...hahahahah natishajeeee

We mtoto hiyo mineno hapo juu duh! Sasa sijui kwa nini mnapotezaga muda kusubiri kutongozwa ilhali mna mi sound mbwa haruki, wewe mkareee, huyo Prisoner 46664 akichomoa hapo ujue karogwa huyo
 
Last edited by a moderator:
Dear wangu wa ukweee Prisoner 46664, mimi kusema kweli Nimevutika sanaa na wewe! I jt want a chance to know you more! Hilo gape hapo la 13 YRS kuliziba si kazi rahisi atiiii na huwezi kumchukua mtoto kufanya kazi ya mtu mzima! Hawa watoto wengine watakupasua kichwa tuu! Nichukue Mtu mzima mwenzio!

Napenda nini juu yako!
Ni vigumu mwanamke kumwambia mwanaeme ila simba akizidiwa anakula nyasi atiii! Ila kiukweli what i like about you mostly ni 1. Uko civilized 2.Una upeo mkubwa 3.You are name is Sexxy 4. Umekaa na mtu 13 YRS that shows how committed you are, who doesnt like a commited man! 4. You are still young, so im i, njoo tupeane mambo ya kisasa! 5. You got Money, i wont lie pesa pia zimechangia mimi kukufata coz i love money! But hey! Who doesnt? Jua tu kuwa Smthn expensive is somethin valuable kama mimi! Vizuri vya jiuzaa! If money can buy you happines, invest in me you will never regret a dime you spend on me baby!

Why choose me!
Ujue wewe hapo ulipo huitaji Drama zisizo na kichwa, Mimi hilo ndo speciality yangu, no committment, no strings attatched, no promises in vain, Jst pure fun na kula maisha sisi wawili (At your expenses ofcourse just to be clear) Sikuulizi uko wapi, sijui na nani blah blah blah, Simu ikitoka kwangu ni Baby im horny!!!!!!!!!!! (Im kinda of nasty too, in a good way!) Plus i drink too so tutakuwa tunakunywa wote,

Plus hio dinner ni muhimu kuna kigauni na viatu vipya bado sijavaa, si mbaya ukiniona, i guarantee i look good in that outfit, pia you dont have to worry what you will say to me, i enjoy looking at ya face more than ya words! After rall maneno hata kwenye khanga yapo! Usijihisi maybe hauko navotarajia! Actually i have seen worse na i got no expectations at all! Ulivo hivo will do! Embu acha ushamba wako LET ME UPGRADE YA!

Nyie washindani wengine mjue THE BOY IS MINEEEEE!!!!!!!!1
 
Last edited by a moderator:
hahahahahah Prisoner 46664 sound hilo kuwa macho aseeee!!! si wamja mamamaaa wa midolari huyo atakwenda kukuumbua huko kwenye dinner....just pick a decent smart simple lady i.e Ciello and u wont regret it 4 the ret of ur life....
Dear wangu wa ukweee Prisoner 46664, mimi kusema kweli Nimevutika sanaa na wewe! I jt want a chance to know you more! Hilo gape hapo la 13 YRS kuliziba si kazi rahisi atiiii na huwezi kumchukua mtoto kufanya kazi ya mtu mzima! Hawa watoto wengine watakupasua kichwa tuu! Nichukue Mtu mzima mwenzio!

Napenda nini juu yako!
Ni vigumu mwanamke kumwambia mwanaeme ila simba akizidiwa anakula nyasi atiii! Ila kiukweli what i like about you mostly ni 1. Uko civilized 2.Una upeo mkubwa 3.You are name is Sexxy 4. Umekaa na mtu 13 YRS that shows how committed you are, who doesnt like a commited man! 4. You are still young, so im i, njoo tupeane mambo ya kisasa! 5. You got Money, i wont lie pesa pia zimechangia mimi kukufata coz i love money! But hey! Who doesnt? Jua tu kuwa Smthn expensive is somethin valuable kama mimi! Vizuri vya jiuzaa! If money can buy you happines, invest in me you will never regret a dime you spend on me baby!

Why choose me!
Ujue wewe hapo ulipo huitaji Drama zisizo na kichwa, Mimi hilo ndo speciality yangu, no committment, no strings attatched, no promises in vain, Jst pure fun na kula maisha sisi wawili (At your expenses ofcourse just to be clear) Sikuulizi uko wapi, sijui na nani blah blah blah, Simu ikitoka kwangu ni Baby im horny!!!!!!!!!!! (Im kinda of nasty too, in a good way!) Plus i drink too so tutakuwa tunakunywa wote,

Plus hio dinner ni muhimu kuna kigauni na viatu vipya bado sijavaa, si mbaya ukiniona, i guarantee i look good in that outfit, pia you dont have to worry what you will say to me, i enjoy looking at ya face more than ya words! After rall maneno hata kwenye khanga yapo! Usijihisi maybe hauko navotarajia! Actually i have seen worse na i got no expectations at all! Ulivo hivo will do! Embu acha ushamba wako LET ME UPGRADE YA!

Nyie washindani wengine mjue THE BOY IS MINEEEEE!!!!!!!!1
 
Last edited by a moderator:
kwa kweli huyu mwanaume yupo njema kwa maongezi tu ya online vile amefanikiwa kuteka kila mwenye kupenda moyo wake lol especially me, so kwanza prisoner yupo vyema kichwani anajua kuanalyse vitu so nna uhakika he wil be one step ahead of me.pili i have assurance that once he announce he will be only mine n mine coz he is more dan commited in love ikumbukwe nowadays hawapatikani wenye hizi sifa so kumpata ye ni bahati iliyoje,
tatu inaonekana anajua wot love means simaanishi kugegedana tu maana kukaa miaka 13 in relation c mchezo tena wala hajahangaika na kuomba sex nani mwengine ataweza, no one like priosoner , u r alpha n omega, hapa najua macho yote yatakua kwangu ntapendwa mie , ntajaliwa mie, ntaringa mie , u r more dan gentlemen pls come this way achana na wajanja wa mujini watakuliza bure
 
Bibie hizi ngoma huchezwa PMland.
Ningependa kuona hii mechi hapa jukwaani, ila nadhani wajanja washamuwahi.

Hana Pete Kidoleni! That means HE IS AVAILABLE FOR TAKING!!!!!! Ujanja kupata Sio Kuwahi!!!!!!
 
Am not sure kwa nnavyofahamu upeo wako prisoner utarubunika kizembezembe , u r too gud kukutana na mitego ya mujini, u deserve someone u can match like suprise,u r committed man u nid a comited gal tuu ya nini kuhangaika na pasua kichwa,pls i cant dare seeing u suffer , come pls
 
sifa nyinine niliyo nayo Prisoner 46664 ni kuwa mie sipigi mizinga...infact mie ndo huonga na ushahidi wa hilo ni men wote nilowadate nilikuwa nawakatia mpunga wa kutosha...so maswala ya sweet naomba hela ya weaving, sijui ninunulie smartphone kwangu halipo..inshort am a fighter hata hiyo dinner yenyewe ukitaka expenses zote mie nitazicover..pesa kitu gani bana!!!! i just need one word 4m u an thts ...malizia mwenyewe
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom