Prisoner 46664 Please Take Me to A Dinner Date (Nani Kuibuka Mshindi!)

Prisoner 46664 Please Take Me to A Dinner Date (Nani Kuibuka Mshindi!)

dogo malizana na sharo wako kwanza...haya maji marefu yanavukwa na wanaojua kuogelea tu...hahahahah nani amenunaaaa
Am not sure kwa nnavyofahamu upeo wako prisoner utarubunika kizembezembe , u r too gud kukutana na mitego ya mujini, u deserve someone u can match like suprise,u r committed man u nid a comited gal tuu ya nini kuhangaika na pasua kichwa,pls i cant dare seeing u suffer , come pls
 
mie naanza kama hivi...Prisoner ni mwanaume wa ukwee kikubwa kilichonivutia kwake ni uaminifu....13 years na ex si mchezo tena bila kuonja tunda hadi wajanja wakamzidi ni bonge la sifa kwangu!!! mwanaume wa hivi waweza mwacha na beki3 hata mwaka mzima na asimgegede aka mzabzab, sipendi kushare mhogo na chic yeyote so nikimpata prisoner i will b a queen in his world.....pia napenda mwanaume muwazi...ka mie mwenyewe...na prisoner amedhihirisha hilo, men waongowaongo na wenye misecret hawanipi mzuka kabisa.prisoner mie ni manzi wa ukwee...ahahahah yani nimekamilika idara zote, idara ya usalama wa mahusiano ndo usiseme full mautundu so come 2m baby and get the chance to enjoy the full package kwa raha zako....ishu ya mkwanja si tatizo kwani we attitude yako 2 towards ladies imenifanya nijitoe mzimamzima 4 anythng u want....hao wengine usiwasikize hawana sifa...just say yes an Ciello will b at ur disposal

lolz!!..Ciello una mpango wa kusafiri??embu niambie mapema mamie..
 
Kesho na mimi nakuwa prisoner 57775, kwani nani hapendi kugombaniwa na vimwana,tena hapo kwenye 13 years naweka 22 afu nione ntakavyowabanduabandua lebo na uzee wangu huu. Mwe, afu huyo Prisoner 46664 mwenyewe mbona kapotea? Msije dhani ni jasiri kwa kupitisha hzo thirteen kumbe la kibisa and he could not do any better ohooo!
 
Last edited by a moderator:
lara 1 ka vp huu matnange tuufunge!!! mashosti wote wamekimbia...wanajidai kumtaka Prisoner 46664 kumbe hat uwezo wa kumseduce hawana...ka vp nipeni ushindi wangu wa mezani....hv mtu anajidai disent hat kwenye kumtokea men wa ukwee ka prisoner?? sasa wakienda chobis itakuwaje??? si ndo wale wa game za gizani...hahahahah...seducing a man is an art jamen
 
Last edited by a moderator:
Dear wangu wa ukweee Prisoner 46664, mimi kusema kweli Nimevutika sanaa na wewe! I jt want a chance to know you more! Hilo gape hapo la 13 YRS kuliziba si kazi rahisi atiiii na huwezi kumchukua mtoto kufanya kazi ya mtu mzima! Hawa watoto wengine watakupasua kichwa tuu! Nichukue Mtu mzima mwenzio!

Napenda nini juu yako!
Ni vigumu mwanamke kumwambia mwanaeme ila simba akizidiwa anakula nyasi atiii! Ila kiukweli what i like about you mostly ni 1. Uko civilized 2.Una upeo mkubwa 3.You are name is Sexxy 4. Umekaa na mtu 13 YRS that shows how committed you are, who doesnt like a commited man! 4. You are still young, so im i, njoo tupeane mambo ya kisasa! 5. You got Money, i wont lie pesa pia zimechangia mimi kukufata coz i love money! But hey! Who doesnt? Jua tu kuwa Smthn expensive is somethin valuable kama mimi! Vizuri vya jiuzaa! If money can buy you happines, invest in me you will never regret a dime you spend on me baby!

Why choose me!
Ujue wewe hapo ulipo huitaji Drama zisizo na kichwa, Mimi hilo ndo speciality yangu, no committment, no strings attatched, no promises in vain, Jst pure fun na kula maisha sisi wawili (At your expenses ofcourse just to be clear) Sikuulizi uko wapi, sijui na nani blah blah blah, Simu ikitoka kwangu ni Baby im horny!!!!!!!!!!! (Im kinda of nasty too, in a good way!) Plus i drink too so tutakuwa tunakunywa wote,

Plus hio dinner ni muhimu kuna kigauni na viatu vipya bado sijavaa, si mbaya ukiniona, i guarantee i look good in that outfit, pia you dont have to worry what you will say to me, i enjoy looking at ya face more than ya words! After rall maneno hata kwenye khanga yapo! Usijihisi maybe hauko navotarajia! Actually i have seen worse na i got no expectations at all! Ulivo hivo will do! Embu acha ushamba wako LET ME UPGRADE YA!

Nyie washindani wengine mjue THE BOY IS MINEEEEE!!!!!!!!1

This degree of honesty is unbeatable lara 1!!!..
 
Last edited by a moderator:
hahahahahah Prisoner 46664 sound hilo kuwa macho aseeee!!! si wamja mamamaaa wa midolari huyo atakwenda kukuumbua huko kwenye dinner....just pick a decent smart simple lady i.e Ciello and u wont regret it 4 the ret of ur life....

Character assasination hairuhusiwiii! We jipigie debe mwenyewe bila kumharibia mtu!
 
lara 1 ka vp huu matnange tuufunge!!! mashosti wote wamekimbia...wanajidai kumtaka Prisoner 46664 kumbe hat uwezo wa kumseduce hawana...ka vp nipeni ushindi wangu wa mezani....hv mtu anajidai disent hat kwenye kumtokea men wa ukwee ka prisoner?? sasa wakienda chobis itakuwaje??? si ndo wale wa game za gizani...hahahahah...seducing a man is an art jamen

Hakifungwi kitu hapa! Watu tunatafakari tutoke vipi! Mwaga mavitu!
 
hahahahah haya bana ila mie naenda zangu kulala naona mashost wako wamekimbia...
Character assasination hairuhusiwiii! We jipigie debe mwenyewe bila kumharibia mtu!
 
Prisoner 46664 hivi ushawahi kupewa mambo adimu wewe! Mi nakaa mbali sana, Nichukulie chumba kabisaaa ili tukitoka dinner nipumzike humo! You can keep me company too! We will just Talk! LOL!
 
Last edited by a moderator:
Character assasination hairuhusiwiii! We jipigie debe mwenyewe bila kumharibia mtu!

hivi ni character assasination au amefanya ku expose the true colours, teh teh tih, nimepita tu,endeleeni na mechi yenu, naelekea chit chat
 
@Afu prisoner hujyi tu mambo mazuri niliyokuandalia! Let it be surprise! Yaani nakuja na zana zangu kabisaaaa kwenye pochi ikwemo Kitambaa, Asali, Iriki na Kisosa!!!!!!! Mambo ya Tanga haya! Vya nini hivo vitu vyote wewe nichague mie tu! Taiba haiburudish wala kurelax mwili!
 
hivi ni character assasination au amefanya ku expose the true colours, teh teh tih, nimepita tu,endeleeni na mechi yenu, naelekea chit chat

Baba V Ciello hakupi kitu hata ukiwa mshika pembe wakati prisoner anachinja ng'ombe unalo hiloooo!!!!!
 
Last edited by a moderator:
dogo malizana na sharo wako kwanza...haya maji marefu yanavukwa na wanaojua kuogelea tu...hahahahah nani amenunaaaa

tushaanza kutishiana nyau sio, we mwaga sera hizo nyingine mwembwe tu sijicifu bt he knows mekama unabisha muulize prisoner
 
Kesho na mimi nakuwa prisoner 57775, kwani nani hapendi kugombaniwa na vimwana,tena hapo kwenye 13 years naweka 22 afu nione ntakavyowabanduabandua lebo na uzee wangu huu. Mwe, afu huyo Prisoner 46664 mwenyewe mbona kapotea? Msije dhani ni jasiri kwa kupitisha hzo thirteen kumbe la kibisa and he could not do any better ohooo!

we nawe usiilalie mlango wazi bahati ya mwenzio, hua havitunukiwi hivihivi kafanya kazi mwenzio ujue, nani kama prisoner narudia no one like u
 
hahahahah haya bana ila mie naenda zangu kulala naona mashost wako wamekimbia...

Bora umejitoa mwenyewe maana ngoma nzito hii!!!!!!!!!! LOLEST!
 
no ila mie ishu zangu za kutravel mara kwa mara so nikikupata nitasafiri kwa amani asee...nikubali basi tukapate hiyo dina...wapotezee kina lara 1 na Surprise hawana ishu....hahahahah

prisonetr huyo wa kutravel atakupasua nkichwa ,huyo mwingine mtafuta madini na migodi tu,the only option ya ukwee ni kwangu the only decent in this jukwaa, upewe nini tena zaidi ya milki yangu
 
Kesho na mimi nakuwa prisoner 57775, kwani nani hapendi kugombaniwa na vimwana,tena hapo kwenye 13 years naweka 22 afu nione ntakavyowabanduabandua lebo na uzee wangu huu. Mwe, afu huyo Prisoner 46664 mwenyewe mbona kapotea? Msije dhani ni jasiri kwa kupitisha hzo thirteen kumbe la kibisa and he could not do any better ohooo!

Hahahaaaaaaaaaaaaa! Muache LL COO JF wetu!!!!!!! Hata aweje nimeshakolea mazimaaa! Ohh! Mamaaaaaa! We hata ukiwa NYAMPARA kabisaa nini prisoner hupati kitu!
 
sio nimejitoa nishazoea mtanange wa mashosti zaidi ya 10 kwa mwanaume mmoja afu mie ndo naibuka mshindi so hapa naona ka najipaka masizi bureee...ila prisoner jua deep down u hav a chance 2m so anytym u fil like just hola m hata kwa 1nit stand hahahahahahah
Bora umejitoa mwenyewe maana ngoma nzito hii!!!!!!!!!! LOLEST!
 
Back
Top Bottom