Sawa "IBLA" wa PILI.BULE fc watakuja hap
Tuletee huo ushahidi uliofutwaMsimamizi Mkuu wa Digitali na Maudhui wa Yanga, Priva Abiud maarufu Privaldinho kupitia akaunti yake "X" amejisahau na kutumia picha ya Klabu ya Simba kwenye kuhamasisha mechi yao dhidi ya Mamelodi.
View attachment 2941036
Baada ya kugundua makosa, Priva aliifuta picha yenye mashabiki wa Simba na kuweka Picha yenye mashabiki wa Yanga.
✍️ Mjanja M1
Bule ndio nini?BULE fc watakuja hap