Privadinho amjibu Jemedari Said kuhusu kumpigia makofi Engineer Hersi ikulu wakati akiwa anaingia

Kabisa ,mchaga anaetafuta hela kwa kuwa chawa.Halafu ans degree ya Law eti ,sijui ni kweli ?Kama ni kweli sijui kwa nini hakwendi Law school na pesa anayo ,walau amiliki Law firm akiwa wakili.
Hahaaa jmn law school is not for everyone

But tuache wivu jemedari Ni mchawi yule
 
Vijana wa siku hizi kama Paula!
 
Ana degree ya law kutoka udom
na kipindi yupo clouds alikua anasoma masters ya mass communication
Wewe humjui vizuri Abiud, hana masters. Na kuhusu sheria amejaribu mara kadhaa ila kashindwa kupata muhuri.

Kwa ule ujengaji wa hoja na kushindwa kwake kutetea kisomi baadhi ya maswala, unaona anao uwezo wa kutoboa Law school wanakoingia 500 kisha wanafaulu 28?
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Kwa hiyo mkongwe Jemedari ni mtu mwenye kiroho "husuda"?!!!

Lakini kupiga makofi ni lazima?!!!

Kwani mtu asipopiga makofi katika hafla mintaarafu ya ile anakuwa kinyume na makofi yapigwayo ?!!!

Je kila anayepiga makofi huwa anaunga mkono [emoji817] p jambo lipigiwalo makofi ?!!!

Ni kwanini PRIVADINHO ashangae kwa msisitizo kwa kutopigwa hayo makofi ?!!!

Nyuma yake ana jambo gani ?!!!

Je ni ARI ya UJANA na utoto tu wa kupenda kujifunza mambo ya dunia kwa KUKOSOA wenye uoni tofauti na yeye?!!!!

Je ni "competition" ya kimakundi dhidi ya Jemedari Said?!!!

Je "wanajuana" na Jemedari Said pamoja na "kujuana" na Rais wangu Injinia Hersi ?!!!

Maswali ni mengi mno....

Ila haya maisha ya MJINI ukiwa "mshabiki" wa kila "USHAWISHI WA MIDOMO" huwenda ukajipunguzia thamani ya umakini atakiwawo kuwa nao BINADAMU [emoji1787][emoji1787][emoji1787]

N.B Juzi kati mtu alipiga makofi katika hafla ya sherehe ya maulid baada ya shekhe kutoa mawaidha yaliyomgusa....tulipotoka haflani nikwambia hivi" ndugu yangu Richard umeona ulivyoangaliwa na maustadhi...wenzako hawapigi makofi kama ulivyopiga wewe...akacheka sana na kusema kuwa MAWAIDHA yalikuwa matamu pamoja na Biriani la viwango" [emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Peace & Love
 
Nilikua nakuona udsm kipindi anafanya masters sijui kama alimaliza
 
Huyu Dogo siku hizi anajiona matawi sana,amesahau alianza kwa kuwa mfanyakazi kwenye instagram ya Shaffih Dauda.Amshukuru Dauda kumpa kazi then kumpa kazi ya bila mkataba pale clouds fm ndo akapata uwanja hadi akajulikana.
Siku zote maisha yanaanzia chini mkuu
 
Nitaka nishangae mbona elimu zimeanza kuwa za mchezo hivyo
 
Hivi kumbe muhuri mtu anaweza bila kusoma Law school ?Na degree ya kwanza alipata GPA gani huyu Abiud ?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…