Privaldinho amjibu Oruma

2019 mnapocheza na Pyramids pengine ulikuwa bado hujaanza kuishabikia Yanga
 
Bush Stars
 
Simba lazima ikebehiwe ndio soccer letu yani unataka tuipongeze Simba!?tafadhari kunywa juice ya moto Simba robo ndio kombe lao kwa Caf
2006 Mamelody alichukua kombe
Simba ndiyo timu pekee ya Tanzania iliyowahi kucheza nusu fainali ya Klabu Bingwa Afrika,kumbuka sana hilo
 
[emoji817] huwezi kuwa na kichwa kama kile ukawa na akili.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…