Mtatokea wapi na kwa figisu gani?
Mkisema mcheze saa 9 alasiri muwakomeshe kwa jua kali mtagundua hiyo mbinu haiwezi kufanya kazi.
Hususani pale unapokumbuka Al Ahly alipochezea goli 5-0 ilikuwa ni mechi iliyochezwa muda huo huo saa 9.
Mnapata wazo labda muwekeze focus kwa Sangoma, mechi muimalizie huko.
Mnagundua kazi ya Sangoma wa Yanga ni kuwafanya wapinzani wawe wanaona giza.
Wakati mnafurahia hilo na kuona mwanga wa matumaini ghafla mnasikia meseji ya muamala, Sangoma karudisha hela.
Wakati mnashangaa kwanini Sangoma arudishe hela, mnastukia meseji ya Sangoma WhatsApp.
Kufungua meseji mnakutana na hii clip.
View attachment 2933600