Privaldinho na Ally Kamwe wameshindwa kuitangaza Yanga Day

Privaldinho na Ally Kamwe wameshindwa kuitangaza Yanga Day

Mtu Asiyejulikana

JF-Expert Member
Joined
Sep 11, 2017
Posts
2,254
Reaction score
5,161
Nimechukizwa sana. Yaani mtaani hakuna amsha amsha hakuna lolote kwenye mitandano ni Simba na Kibegi. Huu ni ujinga sana.

Sisi Yanga tumejikuta tunacheza ngoma ya Simba. Mwananchi Day haijulikani itakuwa lini. Kote wanajadili jersey za Simba tu. Huu ni ukanjanja wa waandishi wa habari.

Hawazungumzii kabisa Mwananchi Day itakuwa lini. Maana kumekuwa kimya sana. Hamna kitu kinachoendelea. Akina Komwe wamejificha wapi?

Wameshindwaje na hawa Wachovu? Kila sehemu ni Simba, Simba, Simba. Inakwaza. Wale Kaizer wamenunuliwa kutusema hawatufahamu wale.....

Nimekasirika sana.
 
Nimechukizwa sana. Yaani mtaani hakuna amsha amsha hakuna lolote kwenye mitandano ni Simba na Kibeg. Huu ni ujinga sana

Sisi Yanga tumejikuta tunacheza ngoma ya Simba. Mwananchi Day haijulikani itakuwa lini. Kote wanajadili jersey za Simba tu... Huu ni ukanjanja wa waandishi wa habari.

Hawazungumzii kabisa Mwananchi Day itakuwa lini. Maana kumekuwa kimya sana. Hamna kitu kinachoendelea. Akina Komwe wamejificha wapi? Wameshindwaje na Hawa Wachovu? Kila sehemu ni Simba, Simba, Simba. Inakwaza. Wale Kaizer wamenunuliwa kutusema hawatufahamu mbwa wale..... Nimekasirika sana
Hivi Kwani Siku ya Mwananchi ni lini?!
 
Nimechukizwa sana. Yaani mtaani hakuna amsha amsha hakuna lolote kwenye mitandano ni Simba na Kibegi. Huu ni ujinga sana.

Sisi Yanga tumejikuta tunacheza ngoma ya Simba. Mwananchi Day haijulikani itakuwa lini. Kote wanajadili jersey za Simba tu. Huu ni ukanjanja wa waandishi wa habari.

Hawazungumzii kabisa Mwananchi Day itakuwa lini. Maana kumekuwa kimya sana. Hamna kitu kinachoendelea. Akina Komwe wamejificha wapi?

Wameshindwaje na hawa Wachovu? Kila sehemu ni Simba, Simba, Simba. Inakwaza. Wale Kaizer wamenunuliwa kutusema hawatufahamu wale.....

Nimekasirika sana.
Huyu naye vepeeee..
 
Nimechukizwa sana. Yaani mtaani hakuna amsha amsha hakuna lolote kwenye mitandano ni Simba na Kibegi. Huu ni ujinga sana.

Sisi Yanga tumejikuta tunacheza ngoma ya Simba. Mwananchi Day haijulikani itakuwa lini. Kote wanajadili jersey za Simba tu. Huu ni ukanjanja wa waandishi wa habari.

Hawazungumzii kabisa Mwananchi Day itakuwa lini. Maana kumekuwa kimya sana. Hamna kitu kinachoendelea. Akina Komwe wamejificha wapi?

Wameshindwaje na hawa Wachovu? Kila sehemu ni Simba, Simba, Simba. Inakwaza. Wale Kaizer wamenunuliwa kutusema hawatufahamu wale.....

Nimekasirika sana.
Wako bize kukijadili kibegi na yaliyomo kibegini, Utokolo kwishney
 
Kwasasa sio kibegi tena, habari ni Konde wana man [emoji6]
 
Watu wapo bize na maandalizi ya kumsikiliza balozi Dr slaa
Kamwe hawawezi jihusisha na ujinga
 
Yani Reject ya Al Ahaly ndio usajili mkali? Una vituko sana Nigger.
Reject ya Al Ahly haiwezi kuwa sawa na reject ya Marumo kwa Skudu.

Ukuona hadi kwenye timu inayoshuka daraja inakataa mchezaji, hiyo sio dalili nzuri
 
Nimechukizwa sana. Yaani mtaani hakuna amsha amsha hakuna lolote kwenye mitandano ni Simba na Kibegi. Huu ni ujinga sana.

Sisi Yanga tumejikuta tunacheza ngoma ya Simba. Mwananchi Day haijulikani itakuwa lini. Kote wanajadili jersey za Simba tu. Huu ni ukanjanja wa waandishi wa habari.

Hawazungumzii kabisa Mwananchi Day itakuwa lini. Maana kumekuwa kimya sana. Hamna kitu kinachoendelea. Akina Komwe wamejificha wapi?

Wameshindwaje na hawa Wachovu? Kila sehemu ni Simba, Simba, Simba. Inakwaza. Wale Kaizer wamenunuliwa kutusema hawatufahamu wale.....

Nimekasirika sana.
Wachovu wanacheza African Super Cup?
Kama Yanga imefanya vizuri. Kwanini haipo African Super Cup?
 
Back
Top Bottom