Privaldinho na Ally Kamwe wameshindwa kuitangaza Yanga Day

Privaldinho na Ally Kamwe wameshindwa kuitangaza Yanga Day

Nimechukizwa sana. Yaani mtaani hakuna amsha amsha hakuna lolote kwenye mitandano ni Simba na Kibegi. Huu ni ujinga sana.

Sisi Yanga tumejikuta tunacheza ngoma ya Simba. Mwananchi Day haijulikani itakuwa lini. Kote wanajadili jersey za Simba tu. Huu ni ukanjanja wa waandishi wa habari.

Hawazungumzii kabisa Mwananchi Day itakuwa lini. Maana kumekuwa kimya sana. Hamna kitu kinachoendelea. Akina Komwe wamejificha wapi?

Wameshindwaje na hawa Wachovu? Kila sehemu ni Simba, Simba, Simba. Inakwaza. Wale Kaizer wamenunuliwa kutusema hawatufahamu wale.....

Nimekasirika sana.
Wamekubali kuingia mfumo wa Ahemed ally na akawapoteza.
 
Nimechukizwa sana. Yaani mtaani hakuna amsha amsha hakuna lolote kwenye mitandano ni Simba na Kibegi. Huu ni ujinga sana.

Sisi Yanga tumejikuta tunacheza ngoma ya Simba. Mwananchi Day haijulikani itakuwa lini. Kote wanajadili jersey za Simba tu. Huu ni ukanjanja wa waandishi wa habari.

Hawazungumzii kabisa Mwananchi Day itakuwa lini. Maana kumekuwa kimya sana. Hamna kitu kinachoendelea. Akina Komwe wamejificha wapi?

Wameshindwaje na hawa Wachovu? Kila sehemu ni Simba, Simba, Simba. Inakwaza. Wale Kaizer wamenunuliwa kutusema hawatufahamu wale.....

Nimekasirika sana.


Tukupe wewe hiyo kazi?
 
Kikubwa ni uwanjani sio haya manjonjo ya nje.Yanga walishaonyesha afrika kuwa wanaweza sàsa tunasubiri tena tuone msimu huu itakuwaje.
 
Wao wapo busy na simba tu acheni yawakute mtajua wenyewe
 
Wewe wasema.
Na ndiyo ilivyo hapo, Siku ya Wananchi ni Copy ya Simba Day, ikageuzwa kuwa siku ya Wananchi lakini ukweli ni Yanga Day [emoji817] ndo maana hata baadhi ya mashabiki wa Yanga wanaita Yanga Day.
 
Kumbe leo ndo Siku ya Wananchi. Wameamua kushtukiza tu hawa watu... Washenziii sana. Kulikuwa na haja gani kushtukiza?
 
Mimi yanga ila siwezi toa msimbazi wangu et kwenda kumuona nungunungu
 
Back
Top Bottom