CAPO DELGADO
JF-Expert Member
- Aug 31, 2020
- 8,542
- 18,340
Yani Reject ya Al Ahaly ndio usajili mkali? Una vituko sana Nigger.
ETI PhD.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yani Reject ya Al Ahaly ndio usajili mkali? Una vituko sana Nigger.
😂Hivi Kwani Siku ya Mwananchi ni lini?!
Wamekubali kuingia mfumo wa Ahemed ally na akawapoteza.Nimechukizwa sana. Yaani mtaani hakuna amsha amsha hakuna lolote kwenye mitandano ni Simba na Kibegi. Huu ni ujinga sana.
Sisi Yanga tumejikuta tunacheza ngoma ya Simba. Mwananchi Day haijulikani itakuwa lini. Kote wanajadili jersey za Simba tu. Huu ni ukanjanja wa waandishi wa habari.
Hawazungumzii kabisa Mwananchi Day itakuwa lini. Maana kumekuwa kimya sana. Hamna kitu kinachoendelea. Akina Komwe wamejificha wapi?
Wameshindwaje na hawa Wachovu? Kila sehemu ni Simba, Simba, Simba. Inakwaza. Wale Kaizer wamenunuliwa kutusema hawatufahamu wale.....
Nimekasirika sana.
Nimechukizwa sana. Yaani mtaani hakuna amsha amsha hakuna lolote kwenye mitandano ni Simba na Kibegi. Huu ni ujinga sana.
Sisi Yanga tumejikuta tunacheza ngoma ya Simba. Mwananchi Day haijulikani itakuwa lini. Kote wanajadili jersey za Simba tu. Huu ni ukanjanja wa waandishi wa habari.
Hawazungumzii kabisa Mwananchi Day itakuwa lini. Maana kumekuwa kimya sana. Hamna kitu kinachoendelea. Akina Komwe wamejificha wapi?
Wameshindwaje na hawa Wachovu? Kila sehemu ni Simba, Simba, Simba. Inakwaza. Wale Kaizer wamenunuliwa kutusema hawatufahamu wale.....
Nimekasirika sana.
haijulikani ni lini, labda bado hawajaitangaza inafanyika lini??Hivi Kwani Siku ya Mwananchi ni lini?!
labda itakuwa mwezi ujao tarehe ndio sijuiDuuh [emoji848]
Kwani siku ya mwananchi ni lini[emoji854][emoji854]
Christian Bella yupo kwa stage anaperfom.ETI PhD.
Siku ya Wananchi ni Copy ya Simba Day, kwahivyo hiyo ni Yanga Day [emoji817]Yanga Day ndiyo kitu gani ndugu mtoa mada!! Yanga tuna Siku ya mwananchi.
Wewe wasema.Siku ya Wananchi ni Copy ya Simba Day, kwahivyo hiyo ni Yanga Day [emoji817]
Na ndiyo ilivyo hapo, Siku ya Wananchi ni Copy ya Simba Day, ikageuzwa kuwa siku ya Wananchi lakini ukweli ni Yanga Day [emoji817] ndo maana hata baadhi ya mashabiki wa Yanga wanaita Yanga Day.Wewe wasema.
Hapa usingeandika hivi. Kumbuka wao wamempiga chini Mkude sisi tumemchukua na kumtambulisha kwa mbwembwe sana.Yani Reject ya Al Ahaly ndio usajili mkali? Una vituko sana Nigger.
Hii hawezi jibumkude ni reject ya nani??