Mtu Asiyejulikana
JF-Expert Member
- Sep 11, 2017
- 2,254
- 5,161
Hivi Kwani Siku ya Mwananchi ni lini?!Nimechukizwa sana. Yaani mtaani hakuna amsha amsha hakuna lolote kwenye mitandano ni Simba na Kibeg. Huu ni ujinga sana
Sisi Yanga tumejikuta tunacheza ngoma ya Simba. Mwananchi Day haijulikani itakuwa lini. Kote wanajadili jersey za Simba tu... Huu ni ukanjanja wa waandishi wa habari.
Hawazungumzii kabisa Mwananchi Day itakuwa lini. Maana kumekuwa kimya sana. Hamna kitu kinachoendelea. Akina Komwe wamejificha wapi? Wameshindwaje na Hawa Wachovu? Kila sehemu ni Simba, Simba, Simba. Inakwaza. Wale Kaizer wamenunuliwa kutusema hawatufahamu mbwa wale..... Nimekasirika sana
Huyu naye vepeeee..Nimechukizwa sana. Yaani mtaani hakuna amsha amsha hakuna lolote kwenye mitandano ni Simba na Kibegi. Huu ni ujinga sana.
Sisi Yanga tumejikuta tunacheza ngoma ya Simba. Mwananchi Day haijulikani itakuwa lini. Kote wanajadili jersey za Simba tu. Huu ni ukanjanja wa waandishi wa habari.
Hawazungumzii kabisa Mwananchi Day itakuwa lini. Maana kumekuwa kimya sana. Hamna kitu kinachoendelea. Akina Komwe wamejificha wapi?
Wameshindwaje na hawa Wachovu? Kila sehemu ni Simba, Simba, Simba. Inakwaza. Wale Kaizer wamenunuliwa kutusema hawatufahamu wale.....
Nimekasirika sana.
Wako bize kukijadili kibegi na yaliyomo kibegini, Utokolo kwishneyNimechukizwa sana. Yaani mtaani hakuna amsha amsha hakuna lolote kwenye mitandano ni Simba na Kibegi. Huu ni ujinga sana.
Sisi Yanga tumejikuta tunacheza ngoma ya Simba. Mwananchi Day haijulikani itakuwa lini. Kote wanajadili jersey za Simba tu. Huu ni ukanjanja wa waandishi wa habari.
Hawazungumzii kabisa Mwananchi Day itakuwa lini. Maana kumekuwa kimya sana. Hamna kitu kinachoendelea. Akina Komwe wamejificha wapi?
Wameshindwaje na hawa Wachovu? Kila sehemu ni Simba, Simba, Simba. Inakwaza. Wale Kaizer wamenunuliwa kutusema hawatufahamu wale.....
Nimekasirika sana.
Huoni nimeandika mwananchi day. Au huo mchanganyiko umekusumbua wewe Mkia?Yanga Day ndiyo kitu gani ndugu mtoa mada!! Yanga tuna Siku ya mwananchi.
Rudia kusoma kichwa cha habari yako, halafu uone ni kwa namna gani unahitaji kuonana na Daktari wa macho haraka iwezekanavyo.Huoni nimeandika mwananchi day. Au huo mchanganyiko umekusumbua wewe Mkia?
Yani Reject ya Al Ahaly ndio usajili mkali? Una vituko sana Nigger.Na bado saa 7 tunakata ngebe kwa kuwachapa na usajili mkali.
Trending ni jezi, kibegi na usajili
View attachment 2695938
mkude ni reject ya nani??Yani Reject ya Al Ahaly ndio usajili mkali? Una vituko sana Nigger.
Reject ya Al Ahly haiwezi kuwa sawa na reject ya Marumo kwa Skudu.Yani Reject ya Al Ahaly ndio usajili mkali? Una vituko sana Nigger.
Wachovu wanacheza African Super Cup?Nimechukizwa sana. Yaani mtaani hakuna amsha amsha hakuna lolote kwenye mitandano ni Simba na Kibegi. Huu ni ujinga sana.
Sisi Yanga tumejikuta tunacheza ngoma ya Simba. Mwananchi Day haijulikani itakuwa lini. Kote wanajadili jersey za Simba tu. Huu ni ukanjanja wa waandishi wa habari.
Hawazungumzii kabisa Mwananchi Day itakuwa lini. Maana kumekuwa kimya sana. Hamna kitu kinachoendelea. Akina Komwe wamejificha wapi?
Wameshindwaje na hawa Wachovu? Kila sehemu ni Simba, Simba, Simba. Inakwaza. Wale Kaizer wamenunuliwa kutusema hawatufahamu wale.....
Nimekasirika sana.