Private consultant hodari

nimejitahidi rocky ila kuna watu wenye karama izo
 
U know what
The real problem ni wewe mwenyewe wala sio hayo ya dunia
Hayo ya dunia ni matokeo ila tatizo kubwa linaanzia kwako
jitambue kwanza na tambua kuwa unahitaji wewe ubadilike kabla ya kushauriwa au kupata ushauri

Yaani wewe tayari ushamfanyia diagnosis. Unatisha.
 

kama ngapi!?? my price ranges from 20 to 50 US$ per hr
 
nimejitahidi rocky ila kuna watu wenye karama izo

Kujitahidi kunaendana na kukubali hali halisi
Unahitaji ubadilike wewe na kunadilika ni kujielewa kuwa wewe ni nani na kwa nini upo hapa duniani na nini unachotaka maishani mwako
Hili la kutafuta mtu wa kukushauri hawezi kukushauri kinyume na unavyotaka kuwa wewe mwenyewe
 
Pole! Nipunguzie mimi baadhi ya mawazo..kichwa changu kina Gigabytes za kutosha kuhifadhi matatizo ya kike ( just kidding!) LoL!
Fuata ushauri wa Mr.Rocky hapo juu, jifanyie self assessment ugundue mapungufu uliyonayo then tafuta solution. Kama uko dar jitahidi sikumoja moja uwe unakwenda pale mlimani city Cinemax kuangalia sinema.
 
kila wkend huwa naenda pale mlimani hadi nina complimentary ticket mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…