Basi sio kitu cha mchezo mchezoEndelea kutarajia. Akon alinunua Private jet akumaliza nayo mwaka akaiuza.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Basi sio kitu cha mchezo mchezoEndelea kutarajia. Akon alinunua Private jet akumaliza nayo mwaka akaiuza.
Acha kuamini ujingaijingaHaters watapinga!
"Mfanyabiashara maarufu" kwa biashara ipi?
Tunachoweza sie mama anaupiga mwingi mama anakubalika acha scammer watukomeshe tuNdio maana ya kuwa GT!!
Hivi unajua kwanini mtandao wa fedha BOT na mabenki ya serikali umepotea hadi watafute ma IT Toka south Africa!
Unafikiri ndani hiki kipindi Hadi mambo yakiwa sawa zitakua zimeibwa sh. Ngapi!!?
Nauliza TU!
Lagos-DarNawaza route zake zitakuaje 😅😅😅
Sasa hii inayotarajiwa kuja ni kitu gani?
Hokeee😃😃Lagos-Dar
Sumbawaga😂Inawasili kutokea wapi ndugu mwandishi.....
Mbona chibu anayo?Hivi mnajua maana ya private jet au mmejaa utumbo wa nguruwe kichwani??
Hata uchukue richest wasanii wa tanzania 10 hawana uwezo huo.
Aliitoa kwa P diddy??Mbona chibu anayo?
Mnafikiri private jet unapack kwako kama gari?...hv mnajua gharama za kulipa marubani,service na njia?au mnafikiri unaendesha tu bure kama mikokoteni ya kariakooSasa hii inayotarajiwa kuja ni kitu gani?
Anapack wapi madale Acha ujingaMbona chibu anayo?
Alipewa na Diddy baada ya kuliwaAliitoa kwa P diddy??