Priyanka Chopra: Star mkubwa Indiana Hollywood afunguka kuhusu ndoa yake

Priyanka Chopra: Star mkubwa Indiana Hollywood afunguka kuhusu ndoa yake

Hata video, nimetoka kuangalia interview yake hivi karibuni.

Na anaonekana kakulia India kabisa, maana hata lafudhi ni kihindi pure.



Duh!! nimeitizama hii video,... aise yupo na ucheshi mwingi sana, yaani utatamani tu kumsikiliza usitamani aache kuzungumza.
 
Probably, but huyo Nick ni mhuni na huyo Chopra pia alitaka kujiweka Hollywood na kuishi Marekani ( wahindi wanapenda sana kuishi Marekani ).

Wakati ndoa yao inafungwa, wahindi walikuwa wanamponda sana Chopra kwamba why kaolewa na mtu wa nje wakati wahindi wapo ( Ukichukulia alikuwa Miss World )

Baadaye, wakashangaa media za US zikaanza kumponda Chopra kuwa yeye ndio kalazimisha Nick ( ambaye ni mdogo kiumri ) amwoe ili aweze kupenya Hollywood.

Kutoka kuona kama Mzungu ndio kapata faida mpaka, Ikabidi wahindi tena waanze kumtetea mtu wao.

Wazungu hawana shobo kabisa na hawa viumbe.

Nachokumbuka aliishi Marekani muda tu kabla ya kurudi India na Jina tayari alikuwa ashalipata Hollywood kupitia movies and series kama Quantico. Hata kama ingekuwa ni reason sahihi naona alifanya vizuri tu maana sioni kama kuna Bollywood actress ambaye yupo juu Hollywood kuliko yeye. Ipo sawa tu
 
Priyanka Chopra...nimemfunga sana mabao ya kichuya ( mkono) enzi zile nikiwa katibu mwenezi wa CHAPUTA.
Kiuno na nyonga vimechokaaa...no wonder hataki tena kuzaa[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom