Amezaliwa India, amekulia huko though aliendaga marekani pia. So ni muhindi pureHata video, nimetoka kuangalia interview yake hivi karibuni.
Na anaonekana kakulia India kabisa, maana hata lafudhi ni kihindi pure.
he's an American
Mchizi ni mmarekani..... huyo mumewe ni mhindi mwenzie au ni race gani? Ila Priyanka kwisha habari yake; sura ya kizee iko wazi usoni.
... what do you mean by "haina kasoro"?jamaa anafaidi papuchi tamu, haina kasoro
mtoto mtam sana uyo , mtam hadi chini japo sjawaimtesti, jamaa anafaidi matam ya dunia... what do you mean by "haina kasoro"?
Duh!! nimeitizama hii video,... aise yupo na ucheshi mwingi sana, yaani utatamani tu kumsikiliza usitamani aache kuzungumza.Hata video, nimetoka kuangalia interview yake hivi karibuni.
Na anaonekana kakulia India kabisa, maana hata lafudhi ni kihindi pure.
Hizo imagination zenu zitawapeleka kubaya.mtoto mtam sana uyo , mtam hadi chini japo sjawaimtesti, jamaa anafaidi matam ya dunia
kwanini mkuu, em fafanuaHizo imagination zenu zitawapeleka kubaya.
Aisee, kama huyo unamwona ni mcheshi utasemaje kuhusu huyu mke wa John Legend.Duh!! nimeitizama hii video,... aise yupo na ucheshi mwingi sana, yaani utatamani tu kumsikiliza usitamani aache kuzungumza.
Ngoja nimchekiAisee, kama huyo unamwona ni mcheshi utasemaje kuhusu huyu mke wa John Legend.
Maana yangu ni kwamba unaweza kuona mwanamke mzuri wa umbo na sura ila huko maeneo sasa hapafai.kwanini mkuu, em fafanua
mkuu mi nikajua bongo peke yakee ndio ipo ivyoMaana yangu ni kwamba unaweza kuona mwanamke mzuri wa umbo na sura ila huko maeneo sasa hapafai.
Naam!!mkuu mi nikajua bongo peke yakee ndio ipo ivyo
hadi uko majuu ?
fhtfuoDuh!! nimeitizama hii video,... aise yupo na ucheshi mwingi sana, yaani utatamani tu kumsikiliza usitamani aache kuzungumza.
Probably, but huyo Nick ni mhuni na huyo Chopra pia alitaka kujiweka Hollywood na kuishi Marekani ( wahindi wanapenda sana kuishi Marekani ).
Wakati ndoa yao inafungwa, wahindi walikuwa wanamponda sana Chopra kwamba why kaolewa na mtu wa nje wakati wahindi wapo ( Ukichukulia alikuwa Miss World )
Baadaye, wakashangaa media za US zikaanza kumponda Chopra kuwa yeye ndio kalazimisha Nick ( ambaye ni mdogo kiumri ) amwoe ili aweze kupenya Hollywood.
Kutoka kuona kama Mzungu ndio kapata faida mpaka, Ikabidi wahindi tena waanze kumtetea mtu wao.
Wazungu hawana shobo kabisa na hawa viumbe.
Kwanini?
Yna2 niruhusu niwe nick wako basiiiiiiiDuh!!