Ni kweli kabisa. Watu hawakosagi maneno maana Priyanka alipenya hollywood kabla hata hajakutana na Nick.Nachokumbuka aliishi Marekani muda tu kabla ya kurudi India na Jina tayari alikuwa ashalipata Hollywood kupitia movies and series kama Quantico. Hata kama ingekuwa ni reason sahihi naona alifanya vizuri tu maana sioni kama kuna Bollywood actress ambaye yupo juu Hollywood kuliko yeye. Ipo sawa tu
Yeah. Nampenda sanaAvatar yako si ni yeye
Yeah! Ipo hivyo mkuuKweli kabisa, hii imenikuta kiuhalisia kabisa.
Anaogopa kupoteza deals za pesa nyingiMimbaa si swala la sec tuu, au huyo bint Kaz Zake haztompa nafas ya kulea mimba inavyotakiwa
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Mhindi ni mhindi, wanazeeka vibaya sana. Alivyo tu anaonekana umri umeenda.
hivi anafilamu gani mbeleni huko? filamu yake ya the sky is pinky sijaipenda kabisaYeah. Nampenda sana
Huyo demu mbona mbovu!!! mm hanivutii kabisa...jamaa anafaidi papuchi tamu, haina kasoro
Alaa kumbe umekopa......Yeah. Nampenda sana
The matrix 4hivi anafilamu gani mbeleni huko? filamu yake ya the sky is pinky sijaipenda kabisa
Filamu ya fashion itabaki kuwa kazi yake bora kabisa huyu dada
You know nothing!Penzi lao limeshikwa na upendo wa dhati ndio maana wako pamoja. Hayo unayotaka kuibua hapa hayana hoja ka kuna upendo wa kweli.
Kila baada ya wiki mbili😂Naona kijana anakula mema ya kihindi
Joline nasi tuanzishe familia yetu iwe mfano in bongo land😊Kazikazikazi[emoji16]
Huyo demu mbona mbovu!!! mm hanivutii kabisa...
mm naendeshaga madude kama kina charokee yale ndio yananipa mzuka