S Shotocan JF-Expert Member Joined Nov 21, 2023 Posts 6,650 Reaction score 12,711 Mar 16, 2024 #21 Idugunde said: Kwamba pamoja na maandiko yake yenye akili yaliyoenda shule na ambayo huwa ni msaada mkubwa kwa serikali. Bado huwa hateuliwi. Lakini cha ajabu member wengi wa JF ambao ni pro Chadema huwa wanamdhihaki na kumnyodoa . Why? Mnataka nini? Click to expand... Mayala alikuwa Chadema na Lowasa walitegemea angebaki kule hakubaki ndio maana Wana hasira naye
Idugunde said: Kwamba pamoja na maandiko yake yenye akili yaliyoenda shule na ambayo huwa ni msaada mkubwa kwa serikali. Bado huwa hateuliwi. Lakini cha ajabu member wengi wa JF ambao ni pro Chadema huwa wanamdhihaki na kumnyodoa . Why? Mnataka nini? Click to expand... Mayala alikuwa Chadema na Lowasa walitegemea angebaki kule hakubaki ndio maana Wana hasira naye
mrangi JF-Expert Member Joined Feb 19, 2014 Posts 88,759 Reaction score 123,368 Mar 16, 2024 #22 Kwani kagombea tena Nafasi yoyote Ova
Hismastersvoice JF-Expert Member Joined Jan 26, 2013 Posts 21,741 Reaction score 26,735 Mar 16, 2024 #23 Kwani amekosa? wewe umejuaje. Ni kwamba jina lake halijatoka tu.
NUMAN JF-Expert Member Joined Sep 3, 2019 Posts 807 Reaction score 1,164 Mar 16, 2024 #24 ....ila jamaa ana akili sana ana mada za ki "GT"..hongera Pascal Mayalla
Idugunde JF-Expert Member Joined May 21, 2020 Posts 6,404 Reaction score 6,969 Mar 20, 2024 Thread starter #25 Kadhi Mkuu 1 said: Siyo wanaChadema tuu wanaofurahi, hata CCM wenzake hufurahi sana akikosa teuzi. Angalia alivyogombea, CCM wote wale wajumbe walimpa kura moja. Click to expand... 😃
Kadhi Mkuu 1 said: Siyo wanaChadema tuu wanaofurahi, hata CCM wenzake hufurahi sana akikosa teuzi. Angalia alivyogombea, CCM wote wale wajumbe walimpa kura moja. Click to expand... 😃
M Malata Junior JF-Expert Member Joined Nov 29, 2011 Posts 3,104 Reaction score 2,550 Mar 20, 2024 #26 'Mayalla kwa kisukuma maana yake ni NJAA'-JPM