[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Duuuuh imenichekesha maana ndo ukweli huo....daaah
Uko sahihi mkuu nakuunga mkonoYaani mtoa post hata wakuponde lakn ukweli utabaki pale pale mwanamke alie zalia nyumbani ni asilimia ndogo sana ya kuolewa na kijana ambae haja pata mtoto,yaan ataolewa na wanaume wenye watoto Wakubwa na wengne kuishia kuliwa tu nan aanze kulea litoto la mtu mwisho wa siku baba yake anakuja kuchukua umemkuzia, labda huyo mwanamke awe anajiweza kiuchumi lakn kama ndyo hana hata kaz yeyote kaz kutegemea kuletewa masimango yatamkimbiza tu maana mwanaume akitoka huko amevulugwa akija home litoto linapiga kelele wala sio lake na yy akifikilia hana mtoto,kifuatacho ni kofi tu nenda kwa mama yako
Waoaji tupo... walamsikatishwe tamaa....Hivi hawa single mothers wanajipaga mimba wenyewe????
Wengi tu humu nizao la hao single mothers, embu waacheni kama wewe huwezi kuoa wenzio wanawaoa.
Hahahaha[emoji1] [emoji1]Umepiga nyoka kwenye utosi kwa nyundo.
Mmmhhh hatariiiHivi hawa single mothers wanajipaga mimba wenyewe????
Wengi tu humu nizao la hao single mothers, embu waacheni kama wewe huwezi kuoa wenzio wanawaoa.
Ntalea kwasababu kulea sio dhambi kuliko kutoa nikamuuz Muumba ili nifurahshe wanadamuSawa sweet baby,usikasirike c ulikubali mwenyew bwana,Lea mtoto huyo
Na hii ndio inayowafanya mnaoa wanawake hata kama humpendi kwa sababu tu hajazaa na kubaki kuwa watumwa wa maisha. Suala ni kupendana whether ana mtoto au hana! Ma-thread kibao hapa wameoa wasio na watoto malawama kibao. Kwani kama hana mtoto je unafahamu ametembea na wanaume wangapi?!?! Huwezi kujua je hiyo haina athari vilevile?!?! kwa hiyo kama wewe binafsi hutaki basi usi- generalize!Utaoaje lisingle mother wakati kuna mabint wabichi kabisa chuchu Saa 6 mchana .Ukiona kijana anaoa single mother ujue huyu kajikatia tamaa ya maisha
Chonde! Chonde! Akina dada.
Usiombe ukazaa kabla ya kuolewa ukawa single mother.
Ndoto zote za kuwa na mume wa ndoto yako hukoma siku utakapo toka labour ukiwa na mtoto asiye na baba.
Machaguo yote hukimbia hata uwe mzuri vipi. Utajiweka vizuri, utavaa vizuri na njiani utasimamishwa na wakaka watanashati lakini Mwanaume wa karne hii na awamu hii ya 5 ukimwambia tu nina mtoto basi ata-pretend kwa muda ili ale mzigo na baadaye atasepa.
Mdada mwenye mtoto anaishia kuolewa na mibaba iliyokula maisha mpk imechoka. Labda jibaba limefiwa na mkewe, ama limetengana na mkewe na lina watoto wakubwa kama ww. Badala ya kula maisha kwenye 6 kwa 6 unabaki kulilea tu. Unapotaka ku-DO nalo weka soda karibu maana hayakawii kushusha pressure.
Ukiwa na mtoto wanaume wa ndoto yako ndo basi tena. Daaah! [HASHTAG]#Sorry4[/HASHTAG] Single Mothers.
Muulize kwanza ana umri gani maana anamaswali ya kutoto sana.kama hana baba kwahiyo anamjomba au???''Anatoka labour room akiwa na mtoto asiye na baba'', hiyo mimba ilitungwa vipi?
Sawa Dada,ckujua kama utakasirika,ila mim nakuheshimu pia nakufaham nje ya jamii forumNtalea kwasababu kulea sio dhambi kuliko kutoa nikamuuz Muumba ili nifurahshe wanadamu
Iiiish et ukutwe na majanga ndo uoe single mom kwamba single mom ndo wanahitaji majanga utayokutwa nayo au vpKusema kweli tu kua single mother ni kukosea step ishu sio kuogopa majukumu wala nini ishu tu siwezi kuoa single mother labda na mm nikutwe na majanga ila hvhv hapana