Probability ya kuolewa ukishakuwa na mtoto ni 0.000001%

Single mama msinichukie. Sikuwa na lengo la kuwadhalilisha ama kuwanyamyapaa ama kuwakatisha tamaa, bali nimesema kweli tupu kweli toka jamii ya wanaume waoaji.

Wengi hawapendi na hawataki kuoa mke mwenye mtoto hata kama yeye mwanaume ana mtoto. Wanawaza mbali sana wanaume. Hebu fikiria mwanao anaumwa na amezidiwa usiku halafu mwanaume akiwa amechoshwa na mihangaiko unamuamsha mumpeleke mtoto hospitali. Mnatoka Nakapanya kwenda hosp Mtwara, ama mnatoka Mafia mnaenda Muhimbili Dar, au mnatoka Ukerewe kwena Bugando. Aisee Inamuuma Sana Mwanaume Kama Mtoto Siyo Wake.
 
"Kama naiona michambo ya mademu wa zamani niliowapitiaga, mnayosema yana maana hakuna anaejua kesho"
Simanishi hivyo mnavyofikiria.
 
Nimecheka sana
Hiyo.mifano
 
ukweli upo apo, ila haya mambo ni vice versa kwa alie zalishwa na asie zalishwa iv sasa, cha kufanya ni kumu omba tu sana m/mung ajaalie kheri na aman ya maisha kwa ujumla"
 
Pole sana dada,but usijiweke tu tafuta namna ujishughulishe sababu huwezi mtegemea mom kwa kila kitu ukizingatia mtoto yuko njian anakuja nae atahitaji matunzo pia
 
Hiyo itamuuma mwanaume ambae ni mbinafsi na mwanaume wa hivo ujue hawezi toa msaada kwa mtu ambaye hamuhusu means hata ikitokea mtu amepata matatizo njiani yeye atampita tu
 
Hivi hawa single mothers wanajipaga mimba wenyewe????

Wengi tu humu nizao la hao single mothers, embu waacheni kama wewe huwezi kuoa wenzio wanawaoa.

na hili ndio tatizo la jamii yetu...kitu kikifanywa na ndugu basi all of a sudden sio kosa. sasa kama mtu kazaliwa na single mum haimaanishi hawezi kosoa kosa la mama yake kumzaa nje ya ndoa bwana. tusipindishe mambo kuzaa na kugegeda/gegedwa nkabla ya ndoa ni kosa haijalisha amefanya baba yako mama yako au ndugu yoyote yule.

alafu wewe mwanaume mwengine kagegeda alfu akaacha wewe na kihere here chako wataka kumchukua wa nini.
 
ndoa ni zaidi ya ngono ndugu,wivu umekujaa,inaonesha hujakomaa bichwa
 
utoto unakusumbua,ndoa unadhan ni kugegeda tu,haya tafutaga bikira
 
Huo ni uchoyo, ina maana kusaidia mtu hadi awe anakuhusu khaaa.
 
Uongo mtupu! Fanya tafiti kwanza. Wasichana wangapi wapo mitaani hawajaolewa? Na niwavulana wangapi hawajaoa kisa wanaogopa majukumu.
 
Tatizo lao kubwa lingine baada yakuzalishwa wanataka waonekane ni ma brand new kama zaman k2 ambacho hakiingii akilini kabisa kwa kijana wa kileo.
 
 
Hao wanaosema watakipata lini mi nadhan wanataka kufanya utafit kwamba je wanaradha gani baada ya kuzalishwa.....lakin c kwa kuwaoa na kama ni kwakuwaoa bsi type hyo ya wanaume ni wazee
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…