Pi Network
JF-Expert Member
- Mar 22, 2016
- 290
- 319
Ndoa ni muhimu ndo maana ikawepo na ikabarikiwa.Hivi kwani mtu asipoolewa atakufa? Wanaume wenyewe nyie wachache afu mnategemea kila mtu awe na mwanaume wake ndo azae.
Wew ukisema cha nini wenzako wanasema watakipata lini.
Na nyie endeleeni kuoa wanawake wabichi wasio na watoto ila wametoa mimba mpala mayai yameisha sisi single mothers we are happy the way we are ndo maana tulichagua kuzaa hali na kujua tutapata shida kupata wenza wa maisha yetu ila kwa sisi UHAI wa kiumbe ni bora kuliko NDOA.
hahahaaaaaThe scary is the what? mhh! Damn the ground? No man, just see the nanihii because the mukulu is also have problem with the languaje.
Angalau na mimi nijifariji kuandika kingereza maana sio mchezo hii lugha.
Wanaolewa tena vizuri kabisa na kwa ndoa za kanisani/msikitini mimi nilizaa na wadada wawili nawote kwa sasa wapo kwenyendoa zao tusiwakatishe tamaa[/QUOT
labda vijijini sio mjini
sio kukariri ndio ukweli ww kama ulibahatika jua upo 1 katika 99! na sababu ya hilo zipo wazi wanawake ni wengi kuzidi wanaume na bado population ya wanaume wanaokuwa na familia ni ndogo kuliko wanawake wanaohitaji kuwa na familiaUsikariri ndugu huo utafiti wako sijui wa wapi.?me nimeolewa nikiwa singo mama tena nime someshwa kuanzia A level mpaka chuo na kijana tumefunga ndoa akiwa na miaka 32 tunapendana tuna heshimiana
Mkuu nao maji huwa yanawafika shingoni unakuta msichana anavumilia mpaka ana miaka 27 hamna hata kijana anayemtokea,anachofanya anatengeneza mazingira ya kuzaa na yoyote ili apate mtotoIla kwa kweli jamani tuache utani, mwanamke aliezaa sio liziki hata kidogo. Ukitaka kufa mapema oa mwanamke mwenye mtoto na kisha mzazi mwenzie awepo hai, ndoa yako itakuwa ni matatizo siku zote.
Sasa ili kuepuka adha hiyo ni heri utafute binti ambae hajazaa kisha maisha yenu yaanzie hapo na sio kubeba majukumu ambayo si ya lazima.
TUWAACHE WAOANE NA HAO HAO WALIOWAZALISHA MAANA NI UZEMBE WAO WENYEWE KWA KUSHINDWA KUJIDHIBITI KUZAA KABLA YA NDOA.
Na kwa uwamuzi huo hata Mungu hawezi kutulahumu maana si kosa letu bali ni lao na hao waliowazalisha.
Na hapo pia labda kaolewa ili mradi tu iwe hivo ila choice alishakosasio kukariri ndio ukweli ww kama ulibahatika jua upo 1 katika 99! na sababu ya hilo zipo wazi wanawake ni wengi kuzidi wanaume na bado population ya wanaume wanaokuwa na familia ni ndogo kuliko wanawake wanaohitaji kuwa na familia
Si kweli nimeona wengi wanaolewa tena na vijana hiyo isiwe sababuChonde! Chonde! Akina dada. Usiombe ukazaa kabla ya kuolewa ukawa single mother.
Ndoto zote za kuwa na mume wa ndoto yako hukoma siku utakapo toka labour ukiwa na mtoto asiye na baba.
Machaguo yote hukimbia hata uwe mzuri vipi. Utajiweka vzr, utavaa vzr na njiani utasimamishwa na wakaka watana shati LKN mwanaume wa karne hii na awamu hii ya 5 ukimwambia tu nina mtoto basi ata-pretend kwa muda ili ale mzigo na baadaye atasepa.
Mdada mwenye mtoto anaishia kuolewa na mibaba iliyokula maisha mpk imechoka. Labda jibaba limefiwa na mkewe, ama limetengana na mkewe na lina watoto wakubwa kama ww. Badala ya kula maisha kwenye 6 kwa 6 unabaki kulilea tu. Unapotaka ku-DO nalo weka soda karibu maana hayakawii kushusha pressure.
Ukiwa na mtoto wanaume wa ndoto yako ndo basi tena. Daaah! [HASHTAG]#Sorry4[/HASHTAG] Single Mothers.
Vip ww umebahatika et, kumpata wa ndoto yakoUsilolijua ni sawa na usiku wa giza. Endelea kuwaza hivyo hivyo.
Litoto la mtu!!!! Kweli makosa ya Mama yanawathiri hadi watoto? Acheni mambo ya kijinga nyie. Mtoto awe wa ndani au wa nje ya ndoa wote ni watoto na wana haki sawa as long as wote wamepatikana kwa njia moja.Yaani mtoa post hata wakuponde lakn ukweli utabaki pale pale mwanamke alie zalia nyumbani ni asilimia ndogo sana ya kuolewa na kijana ambae haja pata mtoto,yaan ataolewa na wanaume wenye watoto Wakubwa na wengne kuishia kuliwa tu nan aanze kulea litoto la mtu mwisho wa siku baba yake anakuja kuchukua umemkuzia, labda huyo mwanamke awe anajiweza kiuchumi lakn kama ndyo hana hata kaz yeyote kaz kutegemea kuletewa masimango yatamkimbiza tu maana mwanaume akitoka huko amevulugwa akija home litoto linapiga kelele wala sio lake na yy akifikilia hana mtoto,kifuatacho ni kofi tu nenda kwa mama yako
Hizi ni kauli za mkosajiHivi kwani mtu asipoolewa atakufa? Wanaume wenyewe nyie wachache afu mnategemea kila mtu awe na mwanaume wake ndo azae.
Wew ukisema cha nini wenzako wanasema watakipata lini.
Na nyie endeleeni kuoa wanawake wabichi wasio na watoto ila wametoa mimba mpala mayai yameisha sisi single mothers we are happy the way we are ndo maana tulichagua kuzaa hali na kujua tutapata shida kupata wenza wa maisha yetu ila kwa sisi UHAI wa kiumbe ni bora kuliko NDOA.
Unajua kuna watoto wa kike wanakera ile mbaya wengne ni matatzo kweli lakn wengne chipsi ndyo zinawaponza na kua na tamaa ya pesa pia kutokuangalia ni mwanaume yupi anaefaa mwingne hata kwa muonekano kabsa hana wa kuishi na wewe ila kisa umemuona ana gari kumbe ameazma anakudanganya na kumuona flani anabaiskel ni mali yake unamuona choko unadata na miguu minee anakupiga mimba anasepa zake halafu mwenye baiskel unabaki kumuona anaendelea kueni makin sana,japo wengne ni bahati mbaya lakn vibint vya sasa too much watoto wawili upo kwenu baba tofauti mmmh inaboa kishenziLitoto la mtu!!!! Kweli makosa ya Mama yanawathiri hadi watoto? Acheni mambo ya kijinga nyie. Mtoto awe wa ndani au wa nje ya ndoa wote ni watoto na wana haki sawa as long as wote wamepatikana kwa njia moja.
Hakuna sababu inayojustifie mtoto wa nje kuitwa litoto na wa ndani kuitwa mtoto.
Of course I am a single Mother, naumia kuona matukio yangu yanamgusa hadi mtoto. After all sikupenda kbs kuwa hv lkn kuna mambo yanatokea ambayo km mwanadamu hatuna control nayo. Japo nafurahi kuwa na mtoto, bado sijakata tamaa licha ya kwamba mmetubatiza majina ya kila Ain humu.
Tukumbuke kuwa binadamu tunapanga lkn mwamuzi wa yote ni Mungu. Ht nyie mnaojigamba humu siajabu kesho na kesho kutwa wake zenu wakawa single mothers.
Wengi wao wanaolewa na Mario. Kwahiyo pamoja na kuolewa bado wana wajibu wa kutunza familia. Kwa maneno mengine wanahonga hao wanaume.Na hapo pia labda kaolewa ili mradi tu iwe hivo ila choice alishakosa
Vijana waliokosa mwelekeo wa maisha.Si kweli nimeona wengi wanaolewa tena na vijana hiyo isiwe sababu
Single mother ataolewa na single fartherHivi hawa single mothers wanajipaga mimba wenyewe????
Wengi tu humu nizao la hao single mothers, embu waacheni kama wewe huwezi kuoa wenzio wanawaoa.
Sawa mkuu lkn basi nihukumu mm km mm, sio ufike hadi kwa mtoto. Kuna ulazima gani wa kuita litoto? Kosa la mtoto hapo ni nini? Kuweni na busara, msiwe mnaropoka tu Nyuma ya key board ukidhani mnafurahisha watu kumbe mnaumiza sana mioyo ya watu bila kujua.Unajua kuna watoto wa kike wanakera ile mbaya wengne ni matatzo kweli lakn wengne chipsi ndyo zinawaponza na kua na tamaa ya pesa pia kutokuangalia ni mwanaume yupi anaefaa mwingne hata kwa muonekano kabsa hana wa kuishi na wewe ila kisa umemuona ana gari kumbe ameazma anakudanganya na kumuona flani anabaiskel ni mali yake unamuona choko unadata na miguu minee anakupiga mimba anasepa zake halafu mwenye baiskel unabaki kumuona anaendelea kueni makin sana,japo wengne ni bahati mbaya lakn vibint vya sasa too much watoto wawili upo kwenu baba tofauti mmmh inaboa kishenzi
Nadhani mleta mada ume~exaggerate sana, hiyo probability ni ndogo mno, dunia ya sasa imebadilika. Kama mimi sijali kuoa binti mwenye mtoto, kuteleza kupo, kupata mimba kitu rahisi sana. Kama nampenda naoa tu, kua na mtoto haimaanishi ana tabia mbaya.
Na msiseme nalea mtoto wa mwanaume mwenzangu, so what? Kama dingi yake kamkimbia ntalea tu kama wa kwangu, tena ntajitambulusha kama mdingi kabisa, kwani napungukiwa nini, malezi ya mtoto hayanicost hata robo ya robo. Love is what makes family not blood, ingekua blood basi mke wako sio family.
Sawa mkuu lkn basi nihukumu mm km mm, sio ufike hadi kwa mtoto. Kuna ulazima gani wa kuita litoto? Kosa la mtoto hapo ni nini? Kuweni na busara, msiwe mnaropoka tu Nyuma ya key board ukidhani mnafurahisha watu kumbe mnaumiza sana mioyo ya watu bila kujua.
Unadhani wote tulipenda kuwa hv? Kuna mambo mengi sana nyuma ya hili jambo, msiwe wakurupukaji tu otherwise mseme tuwaachie jukwaa.