Probability ya kuolewa ukishakuwa na mtoto ni 0.000001%

Probability ya kuolewa ukishakuwa na mtoto ni 0.000001%

Uongo mtupu.

Dunia hii kuna wanaume haswa ambao hawaogopi majukumu. Na wanachukulia kuleta mtoto kama kitu Cha kawaida tu.

ni mwanaume/vijana ambao wamebalehe lakini wamekataa kukua kiakili na kimwili. Ndio wanaokimbia majukumu.

afrodenzi!!!!!!!!! ni wewe kweli? long time aisee...long time...how have you been!??
 
Mbona mie shoga yangu kaolewa na Dr. Tena kijana tu wa miaka 30's. Alizalishwa akiwa na miaka 23 binti yake ana miaka 4. Tusikalili ndio maana waswahili walisema ukipenda boga penda na ua lake. After all kuzaa sio hoja tabia matters
 
Umeongea Pumba ambazo hazina faida, yani Pumba ambazo hata kuku huwezi kula, Am single mom, Sitaki kijana, eti age mate, namtaka anaenizidi hata miaka 20 ili niwalee hao watoto wake ninaolingana nao.
NATAMANI KUTUKANA MMMXXXXIIIEEEEEWWWW
 
Hivi kwani mtu asipoolewa atakufa? Wanaume wenyewe nyie wachache afu mnategemea kila mtu awe na mwanaume wake ndo azae.
Wew ukisema cha nini wenzako wanasema watakipata lini.
Na nyie endeleeni kuoa wanawake wabichi wasio na watoto ila wametoa mimba mpala mayai yameisha sisi single mothers we are happy the way we are ndo maana tulichagua kuzaa hali na kujua tutapata shida kupata wenza wa maisha yetu ila kwa sisi UHAI wa kiumbe ni bora kuliko NDOA.
Asanteeee.
Single mom's oyeeeeee
Tena najivunia sana tu kuzaa mapema.
 
Yan wakaka baana kujiona wao ndo kila kitu anaolewa mtu na watoto wa2 au wa3 sembuse mmoja afu kaa ukijua kila kitu n mipango ya Mungu binadam kaz yao n kuongea afu hamnaga mtoto acye na baba... Wote wana baba zao labda wew ndo huna.! Kiaz wee
 
w
Chonde! Chonde! Akina dada. Usiombe ukazaa kabla ya kuolewa ukawa single mother.

Ndoto zote za kuwa na mume wa ndoto yako hukoma siku utakapo toka labour ukiwa na mtoto asiye na baba.

Machaguo yote hukimbia hata uwe mzuri vipi. Utajiweka vzr, utavaa vzr na njiani utasimamishwa na wakaka watana shati LKN mwanaume wa karne hii na awamu hii ya 5 ukimwambia tu nina mtoto basi ata-pretend kwa muda ili ale mzigo na baadaye atasepa.

Mdada mwenye mtoto anaishia kuolewa na mibaba iliyokula maisha mpk imechoka. Labda jibaba limefiwa na mkewe, ama limetengana na mkewe na lina watoto wakubwa kama ww. Badala ya kula maisha kwenye 6 kwa 6 unabaki kulilea tu. Unapotaka ku-DO nalo weka soda karibu maana hayakawii kushusha pressure.

Ukiwa na mtoto wanaume wa ndoto yako ndo basi tena. Daaah! [HASHTAG]#Sorry4[/HASHTAG] Single Mothers.[/QUOTE wewew wasema
 
Kusema kweli tu kua single mother ni kukosea step ishu sio kuogopa majukumu wala nini ishu tu siwezi kuoa single mother labda na mm nikutwe na majanga ila hvhv hapana
 
Jamani unaweza kuolewa ili mradi kuondoa nuksi i.e BORA MUME. Lkn anakuwa hagongi hisia na ndoto zako.

Na ukiona dume zima humu jf linatetea simgle mothers kuwa wanaweza kupata waume wa ndoto zao ujue nalo limeokota nungayembe lenye mtoto.

Kuna kero 2 kubwa ukioa single mom. Moja ni kelele za, ama kuhudumia toto ambalo si lako.
Mbili, ni mawasiliano ya single mom na mzazi mwenzie~Lazima yatakuwepo tu, ya siri ama ya wazi.
Akili zako fupi, nina wasiwasi na kimo chako pia, hakuna wanawake wanajua kutafuta pesa kama single mamas kwa Taarifa yako, naweza kuolewa na nisitegemee hata shiringi Mia ya mwanaume kuhudumia mwanangu.
 
Akili zako fupi, nina wasiwasi na kimo chako pia, hakuna wanawake wanajua kutafuta pesa kama single mamas kwa Taarifa yako, naweza kuolewa na nisitegemee hata shiringi Mia ya mwanaume kuhudumia mwanangu.
Ishu sio pesa ishu picha halinogi naanza na life na single mama wakat wadada single wapo
 
we
Yaani mtoa post hata wakuponde lakn ukweli utabaki pale pale mwanamke alie zalia nyumbani ni asilimia ndogo sana ya kuolewa na kijana ambae haja pata mtoto,yaan ataolewa na wanaume wenye watoto Wakubwa na wengne kuishia kuliwa tu nan aanze kulea litoto la mtu mwisho wa siku baba yake anakuja kuchukua umemkuzia, labda huyo mwanamke awe anajiweza kiuchumi lakn kama ndyo hana hata kaz yeyote kaz kutegemea kuletewa masimango yatamkimbiza tu maana mwanaume akitoka huko amevulugwa akija home litoto linapiga kelele wala sio lake na yy akifikilia hana mtoto,kifuatacho ni kofi tu nenda kwa mama yako
wewe wasema
Yan wakaka baana kujiona wao ndo kila kitu anaolewa mtu na watoto wa2 au wa3 sembuse mmoja afu kaa ukijua kila kitu n mipango ya Mungu binadam kaz yao n kuongea afu hamnaga mtoto acye na baba... Wote wana baba zao labda wew ndo huna.! Kiaz wee
nimeipenda hyoo
 
Back
Top Bottom