Probability ya kuolewa ukishakuwa na mtoto ni 0.000001%

Probability ya kuolewa ukishakuwa na mtoto ni 0.000001%

Afu wanaume wanajiona watakatiiiifu ila duh acha tu, kwaiyo hao mnaoona kuwa ni wabichi wametupa wangapi? Hiyo haimfanyi mtu kutoitwa mama maana tayar alishatoa ispokuwa anabak kuwa mama wa asiyeonekana
 
Hakika umeongea na uchungu mkubwa sana pia nimejifunza kitu kitoka kwako basi tusamehe wote tulio umiza mioyo kwa kuandka post za kuropoka,ila na nyie punguzeni tamaa zinawaponza,nikitoa pesa ndefu hakika nitajua wew huna mapenz ya dhati kwahyo hata nikienda na wew ni kutimiza haja yangu tu kumbe siku hyo mimba tayar ukiniambia nina mimba yako siwez kuamin maana mwanzo ulionesha mapenzi kama biashara nitajua biashara imefanyika sehemu nyingne naletewa mimi kiukweli ni ngumu kukuamin
Ni hv mkuu sio wote tulipata watoto kwa style hiyo. Km nilivyosema yaliyo nyuma ya hii scenario ni mengi. Wala haina haja ya kumlaum Mama.
 
Na hapo pia labda kaolewa ili mradi tu iwe hivo ila choice alishakosa
Wanaubaguzi sana hawa viumbe mda ukienda wanasaka ndoa hata kw ndumba lakn wakiwa bado wanavutia utasikia nataka mwenye ajira nzuri mwenye elimu,mrefu,six pack,na awe mwenye mapenzi ya dhati.kimbembe hampati anae mtaka mpaka umli unaenda anaamua kuzaa bado anajichanganya tu
 
Afu wanaume wanajiona watakatiiiifu ila duh acha tu, kwaiyo hao mnaoona kuwa ni wabichi wametupa wangapi? Hiyo haimfanyi mtu kutoitwa mama maana tayar alishatoa ispokuwa anabak kuwa mama wa asiyeonekana
be blessed nimependa
 
Wanaubaguzi sana hawa viumbe mda ukienda wanasaka ndoa hata kw ndumba lakn wakiwa bado wanavutia utasikia nataka mwenye ajira nzuri mwenye elimu,mrefu,six pack,na awe mwenye mapenzi ya dhati.kimbembe hampati anae mtaka mpaka umli unaenda anaamua kuzaa bado anajichanganya tu
Watazalishwa tu had akili zikae sawa
 
Hivi kwani mtu asipoolewa atakufa? Wanaume wenyewe nyie wachache afu mnategemea kila mtu awe na mwanaume wake ndo azae.
Wew ukisema cha nini wenzako wanasema watakipata lini.
Na nyie endeleeni kuoa wanawake wabichi wasio na watoto ila wametoa mimba mpala mayai yameisha sisi single mothers we are happy the way we are ndo maana tulichagua kuzaa hali na kujua tutapata shida kupata wenza wa maisha yetu ila kwa sisi UHAI wa kiumbe ni bora kuliko NDOA.
Ulichagua kuzaa...!hapa unatudanganya labda kama bahati mbaya..
 
Vijana waliokosa mwelekeo wa maisha.
[emoji70] [emoji94] [emoji2] [emoji2] [emoji3] [emoji115] [emoji115] [emoji115] kwahyo alie koswa muelekeo wa maisha anaamua kuuoa mke wa mtu maana mwanamke alie zaa ni mke wa mtu
 
[emoji70] [emoji94] [emoji2] [emoji2] [emoji3] [emoji115] [emoji115] [emoji115] kwahyo alie koswa muelekeo wa maisha anaamua kuuoa mke wa mtu maana mwanamke alie zaa ni mke wa mtu
Mara nyingi wanatunzwa na hao wanawake
 
Back
Top Bottom