Sasa wewe kinachokuuma ni nini?Kwahyo wew unaona raha sana kuzaa kabla ya ndoa?bikra itolewe kabla ya ndoa sawa mpaka kuzaa sasa uzae mmh
Ishu kuzalishwa kama umezalishwa labda ntaonja tu ila mipango ya kukuoa sahauinawezekana pia wadada single wapo ila hawastahili kuanza maisha na wewe! Usim judge mtu kwa kigezo cha udhaifu wake,udhaifu wa kuwa single mother hauondoi ukamilifu wa kuwa mke bora kwako kuliko yule aliye single, after all kwa Dunia ya sasa kumpata mwanamke single ni nadra sana wengi wameachika kwenye mahusiano ya nyuma ndipo ukamuokota wewe na kumuita single
Unapenda sn tendo la ndoa ww...Wengi tu n Naolewa Soon na Mwanaume mwenye akili zake na busara.
Linageuka baya kwa sababu limeleta matunda?Jambo jema linafanywa mkiwa kwny ndoa...sasa ukifanya tendo nje ya ndoa linakuwa na utata ndio maana vijana wanasema posibility inakuwa 00000000.01
Bora hata wa ndoto za wanaume kuliko tamaa ya kupenda vitongaWengi wenu hapa ni matokeo ya mimba zilizokataliwa na vijana wa ndoto za mama zenu,wacheni kashfa
SanaaaaaaaaaaUnapenda sn tendo la ndoa ww...
Sana...ni sawa na tunda lililotoka kabla ya msimu wakeLinageuka baya kwa sababu limeleta matunda?
Sasa hao masingo faza wakija kukumbushia si inakuwa balaaSanaaaaaaaaaa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
TehSana...ni sawa na tunda lililotoka kabla ya msimu wake
Haina ushemeji, TUNAKULAGAAAAAASasa hao masingo faza wakija kukumbushia si inakuwa balaa
Chupi kwny msumariHaina ushemeji, TUNAKULAGAAAAAA
HahahahahahahaChupi kwny msumari
Na ratio ya wanaume wenye ndoa kulea watoto wa michepuko ya wake zao inaongezeka kila siku, sasa wewe waache wapambane na single mother huku wake zao wakiluka ukuta na kujipatia mimba ambazo wanazifanya kuwa za waume zaoLitoto la mtu!!!! Kweli makosa ya Mama yanawathiri hadi watoto? Acheni mambo ya kijinga nyie. Mtoto awe wa ndani au wa nje ya ndoa wote ni watoto na wana haki sawa as long as wote wamepatikana kwa njia moja.
Hakuna sababu inayojustifie mtoto wa nje kuitwa litoto na wa ndani kuitwa mtoto.
Of course I am a single Mother, naumia kuona matukio yangu yanamgusa hadi mtoto. After all sikupenda kbs kuwa hv lkn kuna mambo yanatokea ambayo km mwanadamu hatuna control nayo. Japo nafurahi kuwa na mtoto, bado sijakata tamaa licha ya kwamba mmetubatiza majina ya kila Ain humu.
Tukumbuke kuwa binadamu tunapanga lkn mwamuzi wa yote ni Mungu. Ht nyie mnaojigamba humu siajabu kesho na kesho kutwa wake zenu wakawa single mothers.
Mim akinidanganya nikajua ni singlemother namuachaHongera zenu nyie mliooa na mnaooa wanawake wabichi! Iila hiyo haimaanishi kutakua na amani na furaha kwenye ndoa... Kila siku ndoa zinavunjika na michepuko inaongezeka. Wengi hamjui kupenda ndo mana hili swala linawasumbua sana. Kwa taarifa yenu kuna wanawake kibao wana watoto kisirisiri! So we danganyika kua hujaoa singo mother! Labda kama umeoa bikra!
[emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] tatizo harusi kuuuubwa ndoa inakuwa zero sasa hapo ndo mtajua kwann wengine wanakimbilia waliozaaWapo ila wanawake hawajaa kiuolewaji. Wanapenda harusi kuliko ndoa.
Umefurahiaaa [emoji3][emoji3][emoji3]...au unatupiaga uvunguni?Hahahahahahaha
Hilo lipo na limeshanitoka, mm nilikuwa hit and run lakini alining'ang'ania balaa huku akijua kuwa ni mme wa mtu, pia kuna jamaa namfaham yy aligharamiwa kila kitu jamaa kaolewa.Huyo mwanamke ana matatizo ya akili, au kuna mtu nyuma anampa pasipo wewe kujua kwaiyo kwako anatafuta heshima tu