mjingamimi
JF-Expert Member
- Aug 3, 2015
- 42,209
- 51,004
Uprodyuza hauna hela mkuu.
Na isitoshe mbona ruge alichangiwa na kusifiwa kote kule kuwa ni tajiri?
Na isitoshe mbona ruge alichangiwa na kusifiwa kote kule kuwa ni tajiri?
Mi nawashangaa hawa vijana wakati wanafanya kazi matumizi yao makubwa ni starehe hawakumbuki kuwekaza ila wakiumwa wanatukumbuka sisi wala ugali na mlenda tuwachangie ile ndogo tuliyonayo khaaaa[emoji53][emoji53]
Mi binafsi sitakuja kuchanga hela yangu kwa ajili ya matibabu kwa mtu yoyote maarufu[emoji41][emoji41]
Mi namuombea uponyaji tu hilo la helaa nehiiii