Ukisomea utafanya kwa usahihi zaidi ila wengi hujifunzia mtaani tu.Daah mkuu mixing siwezi.. anafanyaga mchizi mmoja hivi.. nimeambiwa kufanya mixing inabidi uwe umesomea sound engineering... ET ni kweli mkuu??
[emoji23] [emoji23] [emoji23] Huwa inakupeleka high kinoma dah. Kuna haja ya kujuanaNaskia asahaondoka hapo. Kuna violin Luffa alipiga kwenye kababaye yani uwa inanipa stim zaidi ya mjani
nimeishi nae sehemu moja uyo dogo tangu tukiwa watoto mpaka kumaliza shule namjua pow sabNasikia alikuwa anasoma NIT kozi ya transport and logistics management baadaye akaacha baada ya uproducer kuanza kumlipa. Kabla ya hapo sijui.
NB.nimeambiwa tu na mimi.
Halafu wasanii kama manyumbu, wakianza kwenda kwa producer mpya basi wote wanahamia huko, akianza kuwachaji wanamkimbiaYaani we acha mzeebaba.. producer ukimaliza mwaka fresh.. Shukuru sana
Unataka akufanyaje? Mtoto wa kiume pambana acha kulalamika utaolewauyo dogo nimesoma nae tangu vidudu na chekechea napia nimesoma nae primary na secondary alikuwa best yangu kwa kila kitu huko mkoa wa mbeya wilaya ya kyela sehemu moja inaitwa stamiko katika mgod wa makaa ya nawe unaitwa kiwila coal mine na alikuwa anakaa kwa shangaz katika kota za huo mgod na mzee wangu alikuwa anakaa jilan na shangaz yake dogo ameanza kuimba nakutengeneza bit tangu form one kwenye studio moja ya headmaster wa Shule ya kiwila coal mine na alikuwa kichwa san akishika nafasi ya pili Mimi ya tatu lakin sasaivi kawa maalufu ametusahau washkaji zake bhana
😀😀😀😀😀😀uyo dogo nimesoma nae tangu vidudu na chekechea napia nimesoma nae primary na secondary alikuwa best yangu kwa kila kitu huko mkoa wa mbeya wilaya ya kyela sehemu moja inaitwa stamiko katika mgod wa makaa ya nawe unaitwa kiwila coal mine na alikuwa anakaa kwa shangaz katika kota za huo mgod na mzee wangu alikuwa anakaa jilan na shangaz yake dogo ameanza kuimba nakutengeneza bit tangu form one kwenye studio moja ya headmaster wa Shule ya kiwila coal mine na alikuwa kichwa san akishika nafasi ya pili Mimi ya tatu lakin sasaivi kawa maalufu ametusahau washkaji zake bhana
Usilaumu mkuu katika maisha kuna watu lazima uwa drop ili uendelee kusonga. Mbeya kuna vipaji vingi hasa vya maproduceruyo dogo nimesoma nae tangu vidudu na chekechea napia nimesoma nae primary na secondary alikuwa best yangu kwa kila kitu huko mkoa wa mbeya wilaya ya kyela sehemu moja inaitwa stamiko katika mgod wa makaa ya nawe unaitwa kiwila coal mine na alikuwa anakaa kwa shangaz katika kota za huo mgod na mzee wangu alikuwa anakaa jilan na shangaz yake dogo ameanza kuimba nakutengeneza bit tangu form one kwenye studio moja ya headmaster wa Shule ya kiwila coal mine na alikuwa kichwa san akishika nafasi ya pili Mimi ya tatu lakin sasaivi kawa maalufu ametusahau washkaji zake bhana
Sawa mkuu kumbe umesoma nye esitozekizi?uyo dogo nimesoma nae tangu vidudu na chekechea napia nimesoma nae primary na secondary alikuwa best yangu kwa kila kitu huko mkoa wa mbeya wilaya ya kyela sehemu moja inaitwa stamiko katika mgod wa makaa ya nawe unaitwa kiwila coal mine na alikuwa anakaa kwa shangaz katika kota za huo mgod na mzee wangu alikuwa anakaa jilan na shangaz yake dogo ameanza kuimba nakutengeneza bit tangu form one kwenye studio moja ya headmaster wa Shule ya kiwila coal mine na alikuwa kichwa san akishika nafasi ya pili Mimi ya tatu lakin sasaivi kawa maalufu ametusahau washkaji zake bhana
Mtaalam mkali wa mixing bongo kwa Sasa ni Chizan Brain jamaa anajua sanaUkisomea utafanya kwa usahihi zaidi ila wengi hujifunzia mtaani tu.
Ile violin ipo mwanzo wa ngoma mamaeee ni Hitler bonge moja ya code ...hatariNaskia asahaondoka hapo. Kuna violin Luffa alipiga kwenye kababaye yani uwa inanipa stim zaidi ya mjani
Ninahisi kila anayesikia ile ngoma hatoacha kuipenda ile violin jamaa aliicharaza kwa kiwango cha juu kabisaIle violin ipo mwanzo wa ngoma mamaeee ni Hitler bonge moja ya code ...hatari
Sent using Jamii Forums mobile app
Yeah kwa mtu anayejua music ... ile violin simchezoNinahisi kila anayesikia ile ngoma hatoacha kuipenda ile violin jamaa aliicharaza kwa kiwango cha juu kabisa