Producer S2Kizzy kabla ya kwa switcher alikuwa wapi?

Producer S2Kizzy kabla ya kwa switcher alikuwa wapi?

Yeah kwa mtu anayejua music ... ile violin simchezo

Sent using Jamii Forums mobile app
Hivi mkuu Lufa alitokea wapi, maana mimi kwa mara ya kwanza nilimahamu kwenye alosto, Jamaa anagonga midundo mikali ule wimbo nilikuwa naupenda hasa niuachie saut ya juu kwenye gari nikiwa huko barabara za vumbi ambako kuna ngedere na ndege tu
 
Hivi mkuu Lufa alitokea wapi, maana mimi kwa mara ya kwanza nilimahamu kwenye alosto, Jamaa anagonga midundo mikali ule wimbo nilikuwa naupenda hasa niuachie saut ya juu kwenye gari nikiwa huko barabara za vumbi ambako kuna ngedere na ndege tu
Mtoto wa Arusha,Quick Racka ndo kamtoa jamaa baada ya kumtumia sample za beats jamaa akazielewa then akamwambia njoo dar so akaanza kazi Switch records ya Quick.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Luffa naye alishaondoka hapo Wanene. Wenyewe wanasema walimtema.
Eeh ndiyo sasa sijui bado yupo??.. Daah ila nami ntatoka tuu.. nawakubali Sana wanene..

Dah ni kweli kabisa. Kumbuka Manecky naye.
Labda maslahi, naona dogo S2 kafanya fasta keshafungua studio yake inaitwa Pluto.
Hapa afanye uwekezaji maana hakuna watu wana expire mapema kama maproducer, maana mwaka juz kurudi nyuma ilikuwa T-Touch alitengeneza almost kila hit now kawa wa kawaida
 
uyo dogo nimesoma nae tangu vidudu na chekechea napia nimesoma nae primary na secondary alikuwa best yangu kwa kila kitu huko mkoa wa mbeya wilaya ya kyela sehemu moja inaitwa stamiko katika mgod wa makaa ya nawe unaitwa kiwila coal mine na alikuwa anakaa kwa shangaz katika kota za huo mgod na mzee wangu alikuwa anakaa jilan na shangaz yake dogo ameanza kuimba nakutengeneza bit tangu form one kwenye studio moja ya headmaster wa Shule ya kiwila coal mine na alikuwa kichwa san akishika nafasi ya pili Mimi ya tatu lakin sasaivi kawa maalufu ametusahau washkaji zake bhana
we jamaa mi nilisoma na mtt wa steve jobs ....

Ila simmind mwana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
wewe mshamba wa wapi?? ammy ndo nani?? au unajipigia promo??.. wanadai kodi siku hizi mpaka matangazo ya mitandaoni!.. shauri zako..
Kama hujui kitu tulia uelekezwe!
Hiyo ngoma ya solo hajatengenza s2kiz imetengezwa na ammy!
Nadhani ni producer aliyebadili kwa s2kiz pale switch records
 
Kama hujui kitu tulia uelekezwe!
Hiyo ngoma ya solo hajatengenza s2kiz imetengezwa na ammy!
Nadhani ni producer aliyebadili kwa s2kiz pale switch records
unataka kusema kizzy kasepa?? tufanye yaishe tuu maana tutafika mbali!... maana hata mleta Mada mwenyewe kasema ila ni wewe mchawi mmoja tuu..
 
uyo dogo nimesoma nae tangu vidudu na chekechea napia nimesoma nae primary na secondary alikuwa best yangu kwa kila kitu huko mkoa wa mbeya wilaya ya kyela sehemu moja inaitwa stamiko katika mgod wa makaa ya nawe unaitwa kiwila coal mine na alikuwa anakaa kwa shangaz katika kota za huo mgod na mzee wangu alikuwa anakaa jilan na shangaz yake dogo ameanza kuimba nakutengeneza bit tangu form one kwenye studio moja ya headmaster wa Shule ya kiwila coal mine na alikuwa kichwa san akishika nafasi ya pili Mimi ya tatu lakin sasaivi kawa maalufu ametusahau washkaji zake bhana

Achana hizo swaga za kutaka kukumbukwa na mwanaume mwenzako, fight utoboe.
 
[emoji23] [emoji23] Mkuu unaishi wapi?
Kizzy kafungua studio yake mda mrefu
Hilo tunalijua toka kitambo.. studio inaitwa Pluto.. sijui!.. ishu ni ngoma ya solo katengeneza nani??
 
Hilo tunalijua toka kitambo.. studio inaitwa Pluto.. sijui!.. ishu ni ngoma ya solo katengeneza nani??
Ammy mbona Kuna sign yake amejitaja mule?
Afu nadhani hata ngoma yao flan wamemshirikisha jollie ametengeneza huyo ammy!
 
Back
Top Bottom