Producers wa sasa uchwara, nipe wimbo wowote unaosokilozika vizuri (mixing) kama hii ya P Funk

Producers wa sasa uchwara, nipe wimbo wowote unaosokilozika vizuri (mixing) kama hii ya P Funk

T
S2kizzy baby..hahahaha

Kuna dogo anatumia ID ya "the mixkiller" naona kwenye nyimbo nyingi za sasa yupo..sasa sijui ndo mtabe wa mixing au vipi?

Incase you don't know ya Jux ni wimbo wa kipindi hiki nilioelewa mixing yake
The Mixing Killer ni Yokeeyz moriento,,anajua kinyama uyu jombaa,,Pia kuna Blaq boi na Lizer wako vyedi kwa mixing
 
View attachment 1418351

Yani naona maproducer wa siku hizi wana baraka ya vifaa vipya, software kali, internet, n.k ila nashindwa kujua ni wapi wanakosea kwenye mixing.

sikuhizi hakuna hajuba ushirikiano, biti zima linagongwa na mtu moja na mixing nzima na huyo huyo tofauti na zamani hadi ngoma imekamilika hata kama ni kwa p funk basi wamehusika watu wasiopungua watatu, nakumbuka lile gitaa la she got a gwyne lilicharazwa na mzungu kichaa.

kitu kingine elimu ya uandaaji wa mziki ni ya hovyo sana wanayoipata producers wa siku hizi, yaani kina p walisomea darasani hivi vitu kwa miaka miwili huko uholanzi walijua wanachofanya, sasa sikuhizi mtu kajua tu kutengeneza biti la singeli anajiona youtube ukija kwenye mixing ndio anaharibu kabisa

sikiliza kitu hiki, yani vocal na beat vipo sawa
Zama zimebadirika resources za kujisomea zimekuwa rahisi kufikika siyo kwa mziki tu ni kwa kila kitu. Huwezi pingana na mabadiriko na sayansi imefanya kila kitu kuwa rahisi ukiwa na vifaa vichache unaweza charaza kila kitu. Pfunk mwenyewe namkubari S2kizzy japo alisema kwenye mixing na mastering hakuna anayemkubari
 
Shida ni kuwa nyakati zimebadilika sana hivyo watu wanaweza kujifundisha wenyewe bila kwenda shule rasmi na vyanzo vya kujifunzia vingi vinategemea sana mtizamo wa mtu na sio elimu halisi ya mziki wenyewe.
Najifunza kutengeneza beats for fun na naamini njia ninayoitumia kujifunza ndiyo ma producer wengi wanaitumia (youtube) hivyo haishangazi kuona matokeo kama haya kwa sababu wengi wanalalia zaidi katika kile wanachokiona pasi na kugusa maeneo mengine ili kuongeza ubora. Youtube ni sehemu ya kupata mwanga tu, kusoma hakuepukiki ukitaka kufanya kitu bora.
 
Nani katengeneza NICHEKI ya OTEN? Ile biti
unacheza bila sauti dah
1586812992822.png
 
Maproducer wa Bongo wanakutolea album ndani ya wiki moja tu. Yaani hawa wanajua kutania kazi za watu.
Kwenye mziki jambo hilo linawezekana vizuri kama ukiwa na talent isiyoya kubahatisha kama hawa mumble rappers

Tupac anahistoria kama hiyo na album yake ilikua ni moto

Njoo bongo sasa naskia hadi ray alikua anatoa filamu tatu kwa wiki

It's Scars
 
Tanzania kwa sasa muziki kumejaa takataka tu.

Kwa kuwa mtu ana media au ana network ya media fulani, basi anaitumia kuPUSH takataka zake masikioni kwa watu.

Video Directors nao ni washika camera tu na waunga picha.

Producers ndio takataka kabisa, Wasanii wanaenda studio na mabiti ya watu mifukoni.

Producers anaambiwa tu nataka biti kama la JORO ya wizkid, then anaisample kiduchu mtu anaweka ugoro wake halafu anatumia nguvu kubwa ya media kuusukuma masikioni kwa watu.
 
S2kizzy baby..hahahaha

Kuna dogo anatumia ID ya "the mixkiller" naona kwenye nyimbo nyingi za sasa yupo..sasa sijui ndo mtabe wa mixing au vipi?

Incase you don't know ya Jux ni wimbo wa kipindi hiki nilioelewa mixing yake
Nyimbo nayoikubali kwa mixing katika kizazi kipya cha ma producer ni "Raha" by Marioo.

Sikiliza hili pini kwenye kinu cha maana utanielewa nini namaanisha.
 

Attachments

TThe Mixing Killer ni Yokeeyz moriento,,anajua kinyama uyu jombaa,,Pia kuna Blaq boi na Lizer wako vyedi kwa mixing
Laizer mtoe kabisa kwenye hio equation. Nyimbo zake hazina uwiano kuna zenye makelele huku zingine zinasikilizika.

Ukitaka kujua producer anabahatisha kwenye mixing ni hapo tu.
Mfano nyimbo ya "Eneka" ya Diamond iko overpowered. Yani jamaa sijui huwa anafanya pre-amplification zaidi akiwa kwenye mixing. Nyimbo za Laizer nyingi naona zina ukelele mkubwa yani vocal na beats huwa haviko kwenye harmony halafu kuna zenye sauti kali kuzidi nyengine hazina uwiano na utofauti ni noticeable. Lazma uwe na Equalizer uichezeshe kila nyimbo maana bila hivyo ear fatigue inakupata haraka.

Sasa chukua nyimbo za majani kama umbo namba 8 ya fid Q, Chukua nyimbo ya Rudi nyumbani ya Juma nature, chukua nyimbo ya TID watasema sana ft. Nazizi, chukua nyimbo ya she got a gwan sikiliza nyimbo sehemu tulivu utaona jinsi ambavyo nyimbo zina uwiano wa vocals na beats bila kuwa overpowered. Yani unaweza sikiliza ngoma zote bila kugusa EQ na still ukainjoy.
 
Tanzania kwa sasa muziki kumejaa takataka tu.

Kwa kuwa mtu ana media au ana network ya media fulani, basi anaitumia kuPUSH takataka zake masikioni kwa watu.

Video Directors nao ni washika camera tu na waunga picha.

Producers ndio takataka kabisa, Wasanii wanaenda studio na mabiti ya watu mifukoni.

Producers anaambiwa tu nataka biti kama la JORO ya wizkid, then anaisample kiduchu mtu anaweka ugoro wake halafu anatumia nguvu kubwa ya media kuusukuma masikioni kwa watu.
huu upuuzi anao Diamond, not creative at all! Jeje ni sample ya joro!

Eneka ni sample ya Davido ya IF

Na still anaendelea kupeta na ngoma za ku sample
 
Tanzania kwa sasa muziki kumejaa takataka tu.

Kwa kuwa mtu ana media au ana network ya media fulani, basi anaitumia kuPUSH takataka zake masikioni kwa watu.

Video Directors nao ni washika camera tu na waunga picha.

Producers ndio takataka kabisa, Wasanii wanaenda studio na mabiti ya watu mifukoni.

Producers anaambiwa tu nataka biti kama la JORO ya wizkid, then anaisample kiduchu mtu anaweka ugoro wake halafu anatumia nguvu kubwa ya media kuusukuma masikioni kwa watu.
"Producers anaambiwa tu nataka biti kama la JORO ya wizkid, then anaisample kiduchu mtu anaweka ugoro wake halafu anatumia nguvu kubwa ya media kuusukuma masikioni kwa watu."

Na akimaliza hapo anasema huu wimbo utaitwa JEJE.
 
Back
Top Bottom