Products from Dodoma wine "DOMPO"

Products from Dodoma wine "DOMPO"

Mrejesho nilileta.
ISO M.CodD mhadithie ilivyokuwa[emoji23].

Nilipiga pafu 2 tu,nilisikia uchungu mdomoni utadhani nimemeza muarobaini[emoji21]..
Sikuona kilichobadilika,akili yangu ilikuwa vilevile....
Kwahiyo niliconclude kuwa kumbe hakuna kitu kinachoitwa kulewa.
Hahahahah naomba uje ofisi ya waziri mkuu huku tuongee vizuri (PM) office
Alilamba tu huyu hakunywa. Yani ulitarajia ulewe? Ushafika conclusion kwa test ndogo hivyo?
 
Alilamba tu huyu hakunywa. Yani ulitarajia ulewe? Ushafika conclusion kwa test ndogo hivyo?
Ulinipa pombe mbaya ile,labda unipe iliyo tamu.
Yaani nilijikaza tu ili nisiwadisappoint[emoji23],ila ile kwa kweli ilikuwa chungu.
 
Huyu ulimpa chupa gani aisee mbona anatamba sana hapa[emoji28][emoji28][emoji28] antakiwa akandamizwe dude la maana
Pombe na soda wala havina tofauti.
Nilikuwa mzima kabisa,yaani hadi nalala Niko na akili yangu ileile.
 
Back
Top Bottom